Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,100
- 1,955
Basi kama ni hivyo Dr.W.Slaa ni mchawi namba moja!
Amefanyaje? We mtu sijawahi kusoma "mchango" wako ukiwa unajibu hoja hata siku moja zaidi ya kutaja majina ya watu (iwe ni kuwasifia au kuwakashifu) bila kutoa ushahidi wa sifa au kashfa zao!