Prince Tumbo
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 910
- 247
Msigwa tangu atoe ile hotuba yake ya UDAKU jamii inamuona kama mwehu tu...
Elewa mwehu wa chadema anafaa kuliko mwehu wa ccm...wehu wa kuhujum uchumi na kusababisha maisha magumu kwa wananchi maana yake nikupokea laana kila siku iendayo kwa mungu, acha tufaidike na wehu wa chadema maana wehu wa ccm haufai hata kidogo.....jifunze na uwe na akili daima