Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,416 6,579 Mar 21, 2024 #1 Chagua mshambuliaji mmoja tu wakuanza nae katika kikosi chako kutoka katika list ya washambuliaji waliopo pichani
Chagua mshambuliaji mmoja tu wakuanza nae katika kikosi chako kutoka katika list ya washambuliaji waliopo pichani
issac77 JF-Expert Member Apr 26, 2013 2,959 4,824 Mar 21, 2024 #2 Suarez, drogba, hary kane, aguero wote mbele pale
Southern Highland JF-Expert Member Mar 22, 2017 13,200 21,538 Mar 21, 2024 #4 Naanza na watatu hapo. Berbetov na RVP wanazima kutokea pembeni kati namuweka Drogba nasubiri UCL, FA na EPL
Naanza na watatu hapo. Berbetov na RVP wanazima kutokea pembeni kati namuweka Drogba nasubiri UCL, FA na EPL
Goguryeo JF-Expert Member May 17, 2019 2,510 4,510 Mar 22, 2024 #5 1. Drogba... Sub : Sergio Kun aguerooooooo