Ukiukwaji Katiba, Tanzania tunafeli Wapi?

Your browser is not able to display this video.
 
taifa la mbumbumbu.
 
ugonjwa tunaujua dawa inafahamika tatzo tunaogopa kuchoma sindano

Hapo kwenye "tunaogopa" silabi "tu-" bila kuwa muwazi inakuwa na ukakasi wa kutosha.

Labda ingekuwa hivi mkuu:

"ugonjwa tunaujua dawa inafahamika tatzo baadhi tunaogopa kuchoma sindano"

Bila neno "baadhi" pale, wengine unatokosea sana mkuu.
 
taifa la mbumbumbu.

Hapana. Ni muhimu kutambua kama ilivyokuwa kwa Alpha Conde serikali yake ilikuwa imejipanga na kada hizi:

"Machinga, wapiga debe, boda boda, vibaka vibaka, sungu sungu na wa namna hiyo "at the expense of the rest.""

Kumbuka kada hizo ndiyo ambazo ni rahisi ku kuingia mtaani bila kujali hali.

Sisi tuna group kubwa la opportunists, labda kama ulivyo wewe ambao wangependa mno kuwaona wengine mbele, lakini si wao.

Ni muda sasa wa kuwataka opportunists kama hao kuufyata bila kujali nafasi zao kwenye vyama.

Pasipo na kujitoa kikamilifu haipo katiba mpya.
 
Reactions: BAK
Hapo kwenye "tunaogopa" silabi "tu-" bila kuwa muwazi inakuwa na ukakasi wa kutosha.

Labda ingekuwa hivi mkuu:

"ugonjwa tunaujua dawa inafahamika tatzo baadhi tunaogopa kuchoma sindano"

Bila neno "baadhi" pale, wengine unatokosea sana
umeeleweka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…