kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
Nimejifunza kitu haki wallah!
mkuu hiyo hiyo id yako hata uniclemishe 20× bado nitachemka kuitamka/kuiandika bila kudesa.lol
Nimejifunza kitu haki wallah!
tunaotumia simu majanga kwwetu...hatuoni kitu...
labda ni cmu yangu tu.
pamoja.
Unaweza kuta JF ina memba wasio zidi 20 tu.
Anamaanisha hao wote ni mtu mmoko, yaani four in one, samahani remote nimekujibia swali na samahani tena Kama sikujibu kwa usahihi
Duh, yamekuwa haya tena? kwa kosa lipi nililokukosea mpaka unitukanae namna hii? natumai wahusika wanakusoma.
Na wewe endelea na kubaki na sura nzuri kama binaadam uliyeumbwa ukaumbika na ukafikia kuwa "Super Handsome".
mtaishia kusema sana mjengoni hapa na wala :flypig::flypig:
bestito vipi kwani umetajwa mahala
Duh, yamekuwa haya tena? kwa kosa lipi nililokukosea mpaka unitukanae namna hii? natumai wahusika wanakusoma.
Na wewe endelea na kubaki na sura nzuri kama binaadam uliyeumbwa ukaumbika na ukafikia kuwa "Super Handsome".
kwa sababu siyo wa dini yetu.Maccm mmeanza lini kusemana ovyo?
me nina wasiwasi SIMIYU YETU na LIZABONI akawa mtu mmoja