Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
kwa sababu siyo wa dini yetu.
Sawa sawa mmoja ustadhati mwingine mgalatia.
kwa sababu siyo wa dini yetu.
Unaweza kuta JF ina memba wasio zidi 20 tu.
Wengi huwa wanajisahau na kubambwa, kubwa lao ni hili na Jamal Malinzi.
Jana jion JF ilikuwa inazingua sana labda kuna shida mahala na mode wanalifanyia kazi
Pamoja sana maana nilidhani ni kimeo changu tu kina shida na kutoa LIKE, mods washughulikie maana kutoa LIKE manually nayo inahitaji moyo kama hiyo tu ya kugonga watu hawagongihahah nishampa tayari
samahani like wameondoa kwa muda, tuonane baadae jioni nikupe like yako
wewe mwenyewe ID yako nyngne naijua sema nakufchia siri tu... na naweza nikaianika with evidences
teheheheheheheh, mkuu, umenikumbusha mbali kidogo, siku moja kuna member humu nilimfumumania nyumbani kwake ghafla akawa anakimbizana kuzima pc, mara simu zake, sasa nkashtukia ikabidi nianze kumdadisi kwa lugha ya kumlaghai anambie nini mshtuko wake, hapo sasa ndio ilinibidi nicheke kufa, kumbe ana ID zaidi ya 3, na zote zake zina function kwa wakati mmoja, yaani kaanzisha thread kwa pc, anajijibu kwa simu nokia, analike status na coments zake kwa simu nyingine ya samsung, huku akijitishia kwa kuwaambia mods wampige ban kwa kutumia cm nyingine ya htc yenye id nyingine. hapo ndio nilichoka kabisa, chezea GT.Unaweza kuta JF ina memba wasio zidi 20 tu.
Naona umeamua kureview threads zangu
Wengi huwa wanajisahau na kubambwa, kubwa lao ni hili na Jamal Malinzi.
Unaijuwa moja tu? nnazo 100.