Ukitaka kuwa mbunge wa EAC fanya hili!

banyimwa

Senior Member
Mar 1, 2011
116
23
Sasa hivi mchakato wa ubunge wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) unaendelea na wiki hii itakuwa ya patashika. Nikitambua kwamba wagombea kibao wamejitokeza kuwania na nafasi za uwakilishi ni chache, kuna habari kwamba kinara mmoja wa ufisadi na mtakasaji wa fedha anaalika wale wote wanaotaka kushinda katika kinyang'anyiro hicho, kwa sharti kwamba wale wanaoutaka ubunge huo wamuahidi kumuunga mkono kwenye harakati zao za kutwaa hatamu za uongozi wa nchi hii.

Pamoja na anguko tulilolishuhudia kwa chaguo lake kule Arumeru, nawashauri wale wote wenye kuhitaji kufanikiwa basi wamuine mkubwa huyu lakini wawe waaminifu katika ahadi zao kwake. Kila la heri.
 
Sasa hivi mchakato wa ubunge wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) unaendelea na wiki hii itakuwa ya patashika. Nikitambua kwamba wagombea kibao wamejitokeza kuwania na nafasi za uwakilishi ni chache, kuna habari kwamba kinara mmoja wa ufisadi na mtakasaji wa fedha anaalika wale wote wanaotaka kushinda katika kinyang'anyiro hicho, kwa sharti kwamba wale wanaoutaka ubunge huo wamuahidi kumuunga mkono kwenye harakati zao za kutwaa hatamu za uongozi wa nchi hii.

Pamoja na anguko tulilolishuhudia kwa chaguo lake kule Arumeru, nawashauri wale wote wenye kuhitaji kufanikiwa basi wamuine mkubwa huyu lakini wawe waaminifu katika ahadi zao kwake. Kila la heri.

Ofa hii haijawatendea haki wale walioshindwa kwenye mchujo. Wangeambiwa hili, nao wangeweza kuwa na fursa ya uwakilishi. Ila hiyo ahadi mhh!!!
 
Sasa hivi mchakato wa ubunge wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) unaendelea na wiki hii itakuwa ya patashika. Nikitambua kwamba wagombea kibao wamejitokeza kuwania na nafasi za uwakilishi ni chache, kuna habari kwamba kinara mmoja wa ufisadi na mtakasaji wa fedha anaalika wale wote wanaotaka kushinda katika kinyang'anyiro hicho, kwa sharti kwamba wale wanaoutaka ubunge huo wamuahidi kumuunga mkono kwenye harakati zao za kutwaa hatamu za uongozi wa nchi hii.

Pamoja na anguko tulilolishuhudia kwa chaguo lake kule Arumeru, nawashauri wale wote wenye kuhitaji kufanikiwa basi wamuine mkubwa huyu lakini wawe waaminifu katika ahadi zao kwake. Kila la heri.

Ukishikwa shikamana. Jamaa kakwama sasa bado kidogo atakwenda ubungo terminal kulipia nauli abiria wa mikoani. Huruma!
 
Ofa hii haijawatendea haki wale walioshindwa kwenye mchujo. Wangeambiwa hili, nao wangeweza kuwa na fursa ya uwakilishi. Ila hiyo ahadi mhh!!!

Jamaa yangu mmoja kakosa kidogo tu kwenye mchujo, ningempa kampani tukale mkwanja wa bure pale dodoma
 
Sasa hivi mchakato wa ubunge wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) unaendelea na wiki hii itakuwa ya patashika. Nikitambua kwamba wagombea kibao wamejitokeza kuwania na nafasi za uwakilishi ni chache, kuna habari kwamba kinara mmoja wa ufisadi na mtakasaji wa fedha anaalika wale wote wanaotaka kushinda katika kinyang'anyiro hicho, kwa sharti kwamba wale wanaoutaka ubunge huo wamuahidi kumuunga mkono kwenye harakati zao za kutwaa hatamu za uongozi wa nchi hii.

Pamoja na anguko tulilolishuhudia kwa chaguo lake kule Arumeru, nawashauri wale wote wenye kuhitaji kufanikiwa basi wamuine mkubwa huyu lakini wawe waaminifu katika ahadi zao kwake. Kila la heri.

USHAURI WANGU.
Mtafute mkuu William J. Malecela, umpm labda itamsaidia ktk kinyang'anyiro anachoshirika!.
 
Mi nawaangaliaga hawa jamaa wa EAC naona kama wameenda kupumzishwa tu kule.
 
Back
Top Bottom