naona sasa umefunga domo lako na wachagga eeee maana mapovu yamekwisha hata ukatae wewe ni kuumbe mdogona sawa na hauexists ni empty space kabisa maana hakuna anaeelewaa unachosema ni sawa na kula chapati na kuasume mchuzi ni maji ya bahari,wachaga ndio walioleta maendeleo mikoa yote ya tanzania na kuwafuta ujinga makabila mengine ,kwa hiyo ukimkataa mchaga kwenye ndoa utanunua dukani kwake ,ukikataa dukani kwake ,utapanga nyumba yake kwikwiwkwiwkwiwk nazi haishindani na jiwe
bora mimi nimeoa mchaga sijui tutaanza kutajirika lini mwaka wa 7 sasa, daaha ngoja nisubiri kidogo.
​wachaga again?!!
​mmmmh haya bana!!Siyo peke yao kuna wakikuyu na Wayoruba
bora mimi nimeoa mchaga sijui tutaanza kutajirika lini mwaka wa 7 sasa, daaha ngoja nisubiri kidogo.
bora mimi nimeoa mchaga sijui tutaanza kutajirika lini mwaka wa 7 sasa, daaha ngoja nisubiri kidogo.
Hahahahhahahahahaha you made my day for real..... Thumbs up....!!!!naona sasa umefunga domo lako na wachagga eeee maana mapovu yamekwisha hata ukatae wewe ni kuumbe mdogona sawa na hauexists ni empty space kabisa maana hakuna anaeelewaa unachosema ni sawa na kula chapati na kuasume mchuzi ni maji ya bahari,wachaga ndio walioleta maendeleo mikoa yote ya tanzania na kuwafuta ujinga makabila mengine ,kwa hiyo ukimkataa mchaga kwenye ndoa utanunua dukani kwake ,ukikataa dukani kwake ,utapanga nyumba yake kwikwiwkwiwkwiwk nazi haishindani na jiwe
Uwongo. ..mind controlled. ..wee ukitaka maendeleo oa mzungu tuu.
AMENWachaga HOYEEEEEEE..
Mara wachaga wanaua waume zoa,mara hao ndo mnawataka,,eh e hamueleweki jamani​wachaga again?!!
Hapo pekundu sana ndo umeharibu mkuu.N
KUMBUKA: wasichana/wanaume wa makabila haya wana-software ambayo usipoi-accept na kui-run in your system utaambulia patupu. Pia weka control system maana akikuzidi akili ya biashara na ki-utawala utabaki kulaumu.
NB: mi nilimkimbia mmoja as kwangu maisha ni zaidi ya pesa!
Uchaguzi mwema!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Uwongo. ..mind controlled. ..
Big time. ..basic thinking 1+1
Tuliwa control kwanza as civilization started in Africa. ..and it's going to end in Africa. ...that is my belief. ..mwe.... waafrika pekee ambao hawapo mind controlled na wazung ni the bushman wa klahari desert huko. as long as unachapa keyboard wewe usijidanganye kuwa haupo controlled na wazungu. tulishawahiwa hilo halipingiki
Tuliwa control kwanza as civilization started in Africa. ..and it's going to end in Africa. ...that is my belief. ..
Unaonaje tufanye wote maisha.mim nataka kuoa mchagaHahahahhahahahahaha you made my day for real..... Thumbs up....!!!!