Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,447
- 10,785
Nilikutana na mjamaika-mtz mmoja alikuwa anafundisha ujasiliamali akatusihi huoa wanawake wa makabila haya ili kuwa na uhakika wa kipato:
1. Wachaga
Ila uwe mvumilivu na mbunifu,kama unataka pesa utazipata ikiwa unajali mawazo yake. Ni wabunifu ktk biashara na kuna uwezekano ukazaa watoto wenye akili ya pesa/kutafuta. Wanachangamkia fulsa hata kama ndogo.
2. Wakikuyu
Hawa tabia zao ni kama wachaga kwa Tanzania. Wanapenda kazi na ni watafutaji wazuri wa pesa. Si wavivu ktk kutafuta gaps na kuzitumia.
3. Wayoruba
Hawa nao ni wazuri ktk kuchangamkia fursa. Ukipata mke myoruba jua tayari una mtaji mzuri na ukiutumia vzr unapata pesa za kutoshaa.
KUMBUKA: wasichana/wanaume wa makabila haya wana-software ambayo usipoi-accept na kui-run in your system utaambulia patupu. Pia weka control system maana akikuzidi akili ya biashara na ki-utawala utabaki kulaumu.
NB: mi nilimkimbia mmoja as kwangu maisha ni zaidi ya pesa!
Uchaguzi mwema!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
1. Wachaga
Ila uwe mvumilivu na mbunifu,kama unataka pesa utazipata ikiwa unajali mawazo yake. Ni wabunifu ktk biashara na kuna uwezekano ukazaa watoto wenye akili ya pesa/kutafuta. Wanachangamkia fulsa hata kama ndogo.
2. Wakikuyu
Hawa tabia zao ni kama wachaga kwa Tanzania. Wanapenda kazi na ni watafutaji wazuri wa pesa. Si wavivu ktk kutafuta gaps na kuzitumia.
3. Wayoruba
Hawa nao ni wazuri ktk kuchangamkia fursa. Ukipata mke myoruba jua tayari una mtaji mzuri na ukiutumia vzr unapata pesa za kutoshaa.
KUMBUKA: wasichana/wanaume wa makabila haya wana-software ambayo usipoi-accept na kui-run in your system utaambulia patupu. Pia weka control system maana akikuzidi akili ya biashara na ki-utawala utabaki kulaumu.
NB: mi nilimkimbia mmoja as kwangu maisha ni zaidi ya pesa!
Uchaguzi mwema!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums