nyengo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 454
- 184
Wajapani sio wabaguzi kama wachina. Na kwa wale wanaoishi au walioishi japani au waliooa wajapani wanaweza kuthibitisha hilo. Wengi wetu ktk kutembea na wanawake tofauti na wa kwetu yaani wabongo ni kutafuta exotic, sijui kwa kiswahili nini ila.
Kama na wewe unamtaka mwanamke wa kijapani; katika mazungumzo yenu, kama atakuuliza kama ulikuwa au unae girlfriend au wife, nakushauri umwambie ulikuwa nae na ulikuwa na wanawake wengi na bado unae girl friend mpaka kipindi hicho. Kama ukijidai ile ya kibongo bongo kudanganya kuwa sina na sikuwa na girl friend na kwamba wewe ndio wa kwanza, basi ujue hiyo ndio itakuwa siku yako ya mwisho kumwona na hata pokea simu yako kama utampigia
sasa logic ilioko ni kwamba, kama huna mwanamke au hukua na mwanamke basi anakuona wewe mwanamme unamatatizo. Sasa kwa nini yeye atembee na kitu ambacho hakivutii. Maana wengine wote wamekukataa sasa kwa nini yeye abebe mzigo. Na kama una girlfriend na hasa kama amekuona nae basi itaakuwa kwako rahisina umejitengenezea cv yako ya kwenda kumtongoza huyo mwanamke kiurahisi kwa sababu anahisi mpaka rafiki msichana mwingine katembea nae basi huyu jamaa ni bomba ana jali na anauzooefu na wanawake. hiyo ni kweli jamani
Kama na wewe unamtaka mwanamke wa kijapani; katika mazungumzo yenu, kama atakuuliza kama ulikuwa au unae girlfriend au wife, nakushauri umwambie ulikuwa nae na ulikuwa na wanawake wengi na bado unae girl friend mpaka kipindi hicho. Kama ukijidai ile ya kibongo bongo kudanganya kuwa sina na sikuwa na girl friend na kwamba wewe ndio wa kwanza, basi ujue hiyo ndio itakuwa siku yako ya mwisho kumwona na hata pokea simu yako kama utampigia
sasa logic ilioko ni kwamba, kama huna mwanamke au hukua na mwanamke basi anakuona wewe mwanamme unamatatizo. Sasa kwa nini yeye atembee na kitu ambacho hakivutii. Maana wengine wote wamekukataa sasa kwa nini yeye abebe mzigo. Na kama una girlfriend na hasa kama amekuona nae basi itaakuwa kwako rahisina umejitengenezea cv yako ya kwenda kumtongoza huyo mwanamke kiurahisi kwa sababu anahisi mpaka rafiki msichana mwingine katembea nae basi huyu jamaa ni bomba ana jali na anauzooefu na wanawake. hiyo ni kweli jamani