mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,606
- 4,393
Better not!
Sasa ulinikataa mimi wa mkoa mmoja ukalifuata limshikaji la huko mbali kisa ana katoyota vitz tena ka urithi, sasa ngoja yakukute. Mother fanta wewe.
Mimi naona endeleeni mlipokutania. Msioane kwanza peaneni muda wa kujuana vizuri. Mwaka tu utajua unayopaswa kujua.
Maswali ya msingi muulize mfano kama ana watoto akikujibu kwa kukudanganya baadae itakuwa ngumu kwake.
Muulize pia kama alishawahi kuoa akaachana na mke wake. Kama ndio muulize kama waliachana kisheria?
Ila kikubwa mkapime yale magonjwa muhimu.
Chunguza tena nasema chunguza...
Sio Kila ukoo inafaa kuoa au kuolewa...
Chunguza kiroho na kimwili...
Na kwanini umchunguze?
Kama anajielewa uko tayari kuolewa nae hakikisha mjegejeunafanya kazi fresh, unakutosha basii
Ni mtu wa kabila gani?Namna ya kuchunguza
Kama simfahamu sijawah fika kwao siwajui rafiki zake… ndugu zake nawajua kwa picha tu
Kiufupi nataka namna ya kuanza kumchunguza naanzaje na Mimi na yeye tunaishi mikoa mbalimbali na hata mkoa aliopo sio kwao ni yupo kutafuta maisha tu
Ahaa kama ndiokwanza mmeanza hapo yafaa umchunguze ili ujiridhishe!Why mama?
Je nikiuluzwa kuhusu kumfahamu na familia yake si unajua lazima wazazi wawe sure mara nyingi lazima atauliza ukoo wake naufahamu ni watu wa namna gani na Mimi sina ABCD
Mindset ya nyie wanawake kuweka mbele pesa, kuliko aina ya tabia ya mtu unaeolewa nae, ndo inawafanya wengi mumchague baraba kama mume na kumkataa Yesu (mume mwenye nia nzuri na nyie).Tafuta hela labda nitakufikiria
Hapa ndo majuto anakuwaga mjukuuAhaa kama ndiokwanza mmeanza hapo yafaa umchunguze ili ujiridhishe!
Japo kuna vitu huwezi vijua kwa harakaharaka au pale mwanzo but as days goes ndio utavigundua!

Nitafute hela kwani me ndo nimezipotezaTafuta hela labda nitakufikiria
Kabisa mama mchungaji!Hapa ndo majuto anakuwaga mjukuu![]()
Hili jibu 🙌🙌🤠🤠🤠🤠Nitafute hela kwani me ndo nimezipoteza