pitbull
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 592
- 178
ndo ushakosa kaka jaribu second round
Yan mwanangu unanipaga raha kshnzi,,vipi ushaujua mpango mzima aisee.?
ndo ushakosa kaka jaribu second round
Kwa nini usikirie kuwa wenye option ya second round application wamekosa?
wenzako wameshaanza kufanya selection sasa sijui wewe utaanzaje coz kitufe cha second round application kwako hakipo..nakushauri uwapigie simu mkuu mapema kabla haijala kwako...
Itakulaje kwangu mkuu wakati, sihitaji kufanya selection ya pili? au mkuu kwa kuwa wewe umepata hicho kitufe cha 2nd round application hutaki kuamini kuwa hujachaguliwa.
At last aisee mana presha ilikuwa inapanda then inashuka,watu wengine wameumwa kabisa!
wenye pressure na walioumwa ni wale wenye division 3 za point 14 na 15. wenye moja za 3 wanakula bata wala hawajui kinachoendelea
wakuu hebu nijuzeni kwa huyu dogo ambae kuna kasolo kwenye form za mikopo yaani kuna sehemu hakusain je kuna malekebisho anawezafanya? na ni lini mwisho wa kulekebisha na afanyaje kulekebisho kasolo hy tafadhari nawaombeni nimejaribu kupekuwa kupitia my mob.phone nimeshndwa ktatua tatz hl.
Mkuu website yangu inaonyesha kama kwenye screen shot hii
View attachment 61816
hebu check kama iko sawa na yako kisha naomba unishauri wapi nakosea
wakuu hebu nijuzeni kwa huyu dogo ambae kuna kasolo kwenye form za mikopo yaani kuna sehemu hakusain je kuna malekebisho anawezafanya? na ni lini mwisho wa kulekebisha na afanyaje kulekebisho kasolo hy tafadhari nawaombeni nimejaribu kupekuwa kupitia my mob.phone nimeshndwa ktatua tatz hl.