Je hiii ni njia sahihi kweli ya kujua kama kweli umepata chuo? (kutoka TCU)

jaridotcom2

Member
Jul 26, 2012
62
11
Jamani naomba kunukuu hii post "Ingia web ya TCU na ulog in kwenye account yako.Nenda kwenye profile yako uclick hapo.Profile ikifunguka nenda kaclick kwenye application 2nd round.Baada ya kuclick itakuja option ya add code ya program kwa ajili ya second round ya selection.Ukiaad hiyo code alafu uje kwenye save changes uclick hapo.Baada ya kuclick save changes itakuja message amabayo itasema kama umeshachaguliwa na hauruhusiwi tena kuomba.Mimi nimefanya hivyo na kuletewa ujumbe huo.

Angalizo:Application 2nd round inayoonekana baada ya kulog in achana nayo na badala yake nenda moja kwa moja kwenye profile kama nilivyokueleza hapo mwanzoni"
....Je ni kweli hili linaukweli? maana mm kinachonishangaza kila mtu anaonekana kapata chuo kwa mjibu Wa maelezo hayo.
 
Kuna wadau wamefanya hivo na changes zimetokea. Ngoja atakuja kushuhudia.
 
sidhani kwa mtazamo wangu kama nikweli,hyo message nikwa applicants wote (sina uhakika sana) coz kuna jamaa yangu alikua not eligible kwa vyuo 6 afu vyuo 2 ndo eligible na ana div3.16 na vyuo alivyo kua eligible ni vye competion lakini amelogin na yeye kaukuta ujumbe wakua already applied n admitted,xo ts not true wadau wa JF.
 
Hata mimi nimemchekia mdogo wangu imeleta meseji hio kama no need to reapply but swali la kujiuliza hata kama baadhi meseji ndo hizo ni sawa kwa sababu selection zishafungwa tangu mwezi wa 7 na 2nd round link ukiifungua bado haijawa ready kwa application!!:flypig:

TUSIJIAMINI KUPITA MAELEZO MAMBO BAADO!!!!
 
kuna kaujumbe kanatokea ukifanya application for second round kanasema iv.... WARNING!!! APPLICATION AND ADMISSION PROCESS IS DONE ONLY ONCE PER EACH STUDENT, YOU HAVE ADMITTED ALREADY BE PATIENT AND SOON YOU WILL KNOW WHERE YOU HAVE SELECTED THANKS!!!
 
kuna kaujumbe kanatokea ukifanya application for second round kanasema iv.... WARNING!!! APPLICATION AND ADMISSION PROCESS IS DONE ONLY ONCE PER EACH STUDENT, YOU HAVE ADMITTED ALREADY BE PATIENT AND SOON YOU WILL KNOW WHERE YOU HAVE SELECTED THANKS!!!

Sasa mkuu haka kaujumbe mbona kanatokea kwa watu wote? hapo ndo napopatwa na wasiwasi ebu jaribu kuniweka bayana?
 
kuna kaujumbe kanatokea ukifanya application for second round kanasema iv.... WARNING!!! APPLICATION AND ADMISSION PROCESS IS DONE ONLY ONCE PER EACH STUDENT, YOU HAVE ADMITTED ALREADY BE PATIENT AND SOON YOU WILL KNOW WHERE YOU HAVE SELECTED THANKS!!!

Sasa mkuu haka kaujumbe mbona kanatokea kwa watu wote? hapo ndo napopatwa na wasiwasi ebu jaribu kuniweka bayana?
 
Jamani ukianzisha thread sio kwamba unapata umaarufu!! hii mada unge ipeleka kule ambapo wazo au njia hiyo ilipo tolewa
 
Hii mbona kama danganya toto na kutuona sisi kama mazuzu. mimi mwenyewe nipo admitted. Inavyonekana hawapo makini na wanacho tufanyia ni kubuy our time. Mficha magonjwa siku ataumbuka.
 
Kuna watu walikuwa not eligible course zote lakini naye anapata hako kaujumbe.
ishu ni kwamba umechaguliwa tayari kati ya kozi ulizochagua uwezi jua katika kozi zote inawezekana ulizo eligible amepata haina haja ya kurudia ndo maana wanakumbia tulia uwe mvumilivu mambo yatakuja tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom