msamehe hajui atendalo....aliyesema tcu wametoa selection nani?
Imenijib THANK YOU FOR YOUR UPDATION, YOU MAY LOG OUT.
Halafu chin yake,
PLEASE CLICK HERE TO CONFIRM!
Sijaelewa, nisaidieni people, nimetumia sim
0657031311 hahahahahahahahahaha kaka unaikumbuka? Nipooooooha ha ha hah ndugu yangu mpigamsuli amepigwa ban sasa hizi info sijui itazipataje, then namba yake haipatikani.
mie nimeapply tena inanambia hyo course iko fully, but nilipobadil code ikakubali, ina maana gani?
mie nimeapply tena inanambia hyo course iko fully, but nilipobadil code ikakubali, ina maana gani?
0657031311 hahahahahahahahahaha kaka unaikumbuka? Nipoooooo
Mbona wamehack hiyo tovuti yao,yaan hilo tatizo la kuhack tovuti za wizara nia aibu kwa kwel
ipycalpse umechaguliwa wapii udsm,mzumbe,udom,saut,muccobs tuambiane kakaaa tuambianeekumbe upo mkuu vp wamekupa ban ya muda gani.
ipycalpse umechaguliwa wapii udsm,mzumbe,udom,saut,muccobs tuambiane kakaaa tuambianee
tusubiri kakaaKaka selection si bado au umezipata zote jibaba.