GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,921
Mchezaji Mbwana Samatta amerejea mara moja katika Klabu yake ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji ili Kujiandaa na Mwanzo wa Msimu wa Ligi Kuu ya nchini humo.
Mchezaji Simon Msuba amerejea Kwanza Tanzania kuja Kula Madafu na Mihogo pamoja na Kupiga Misele Jijini Dar es Salaam huku akisubiri Kupigiwa Simu na Timu yake ya nchini Morocco kama arejee huko au basi Kibarua chake Kimeisha ili aombe Deiwaka katika Klabu yake ya Yanga ya nchini Tanzania.
Ikumbukwe kuwa Mbwana Samatta ametokea Klabu Bingwa ya Tanzania Simba Sports Club huku Simon Msuva akiwa ametokea Klabu mbovu na iliyo Masikini kwa sasa nchini Tanzania ya Yanga.
Nadhani tofauti mtaiona hapa.
Mchezaji Simon Msuba amerejea Kwanza Tanzania kuja Kula Madafu na Mihogo pamoja na Kupiga Misele Jijini Dar es Salaam huku akisubiri Kupigiwa Simu na Timu yake ya nchini Morocco kama arejee huko au basi Kibarua chake Kimeisha ili aombe Deiwaka katika Klabu yake ya Yanga ya nchini Tanzania.
Ikumbukwe kuwa Mbwana Samatta ametokea Klabu Bingwa ya Tanzania Simba Sports Club huku Simon Msuva akiwa ametokea Klabu mbovu na iliyo Masikini kwa sasa nchini Tanzania ya Yanga.
Nadhani tofauti mtaiona hapa.