Ukitaka kujua Tanzania inapiga hatua kimaendeleo fuatilia taarifa/hotuba za wadau

Mtarban

JF-Expert Member
Jan 14, 2015
3,818
5,007
wapo wengi wanaopata mkanganyiko juu ya hali halisi ya uchumi Wa nchi yetu kama unapanda, umesimama au unadidimia. Hata Mimi nimewahi kiuliza maswali kama hayo nikawa sipati majibu sahihi kwani majibu niliyokuwa nikiyapata yalikuwa hayashabihiani na Yale yanayotolewa na mamlaka husika.

ili kuepuka mikanganyiko niliamua kuwa nafuatilia taarifa zinazotolewa na viongozi au wadau wenye mamlaka husika kwa kuwa wao ndio wanapokea taarifa za kila namna juu ya ukuaji Wa uchumi wetu.

Nikimsikiliza waziri mkuu nafarijika maana ananipa uhakika kuwa nchi inasonga mbele. nikiwasikiliza tra kwenye ripoti zao za kila mwezi hapo napo nafarijika, rais naye ndo usiseme, na wengine wengi.

kumbe uchumi wetu unakuwa: ccm oyeeeeeeeeeeeeeee. HAPA KAZI TU,
 
Nilidhani utasema ukimsikiliza mchumi beno ndulu ndo unafarijika kumbe ukimsikiliza mwanasiasa ambaye hajua hata data za bot vizuri ndo unafarijika, endelea kua na imani na maneno ya wanasiasa
 
Nilidhani utasema ukimsikiliza mchumi beno ndulu ndo unafarijika kumbe ukimsikiliza mwanasiasa ambaye hajua hata data za bot vizuri ndo unafarijika, endelea kua na imani na maneno ya wanasiasa

hahahhahaaha
 
wapo wengi wanaopata mkanganyiko juu ya hali halisi ya uchumi Wa nchi yetu kama unapanda, umesimama au unadidimia. Hata Mimi nimewahi kiuliza maswali kama hayo nikawa sipati majibu sahihi kwani majibu niliyokuwa nikiyapata yalikuwa hayashabihiani na Yale yanayotolewa na mamlaka husika.

ili kuepuka mikanganyiko niliamua kuwa nafuatilia taarifa zinazotolewa na viongozi au wadau wenye mamlaka husika kwa kuwa wao ndio wanapokea taarifa za kila namna juu ya ukuaji Wa uchumi wetu.

Nikimsikiliza waziri mkuu nafarijika maana ananipa uhakika kuwa nchi inasonga mbele. nikiwasikiliza tra kwenye ripoti zao za kila mwezi hapo napo nafarijika, rais naye ndo usiseme, na wengine wengi.

kumbe uchumi wetu unakuwa: ccm oyeeeeeeeeeeeeeee. HAPA KAZI TU,
hahahaha kama kuna dhambi ccm imelifanyia taifa hili ni kutunyima elimu............................
 
Miji yetu haina public toilets, makazi hayapangwi, sheria za ajira hazizingatiwi, maji safi ya mabomba yameshindikana kupatikana, ambulance hakuna, jiji la Dsm lenye wakazi takribani milioni 5 halina huduma ya zimamoto ya jiji, vituo vya polisi havina hata computer, public transport ya kisasa hakuna, na mengineyo meeeeeeeengi.
Hivi hii ni taswira ya nchi inayopiga hatua kweli, au maendeleo tunayapimaje?
 
wapo wengi wanaopata mkanganyiko juu ya hali halisi ya uchumi Wa nchi yetu kama unapanda, umesimama au unadidimia. Hata Mimi nimewahi kiuliza maswali kama hayo nikawa sipati majibu sahihi kwani majibu niliyokuwa nikiyapata yalikuwa hayashabihiani na Yale yanayotolewa na mamlaka husika.

ili kuepuka mikanganyiko niliamua kuwa nafuatilia taarifa zinazotolewa na viongozi au wadau wenye mamlaka husika kwa kuwa wao ndio wanapokea taarifa za kila namna juu ya ukuaji Wa uchumi wetu.

Nikimsikiliza waziri mkuu nafarijika maana ananipa uhakika kuwa nchi inasonga mbele. nikiwasikiliza tra kwenye ripoti zao za kila mwezi hapo napo nafarijika, rais naye ndo usiseme, na wengine wengi.

kumbe uchumi wetu unakuwa: ccm oyeeeeeeeeeeeeeee. HAPA KAZI TU,
Aisee unamasihara sana pole
 
Unadhani nchi ikisimama au inaenda nyuma atasimama jukwaani na kusema jamani nchi imesimamaa!

Chakuambiwa changanya na yakwako,
 
Siku bibi yako akifariki kwa njaa usije unalialia hapa... Lazima uwafikirie wananchi wa kawaida, maisha wanayoishi Mungu ndio anajua. Hakika nyie mnaolipwa kujikomba serikalini Mungu anawaona...
 
Back
Top Bottom