Jamani kuishi kwingi kuona mengi.
Bro alikua bonge la mshua, ukirudi likizo akianza kukupa mipango ya baadae lazima upige saluti "hapa tuna jembe la ukoo".
Jamaa full optmistic, kila mchongo unaomshirikisha mpe siku kadhaa ngoma lazima itiki.
Kwenye majira kama haya ya sikukuu, yaani home full shangwe, mambo yakiwa hayaeleweki, utasikia mcheck bro mshua!!!
Sasa tangu alipooa, everything has fallen apart!!
Ukimpigia simu kuja kupokea ni mbinde
Yani ukimiss call, thubutu akikupigia.
Kifupi bro-mshua kachange ile mbaya ila kimtindo kama mashambulizi kaelekeza ukweni, kule mashemeji wote wanamuona bonge la King Mswati.
Wadau ebu tulidadavue hili, mbona mashujaa wengi wakishaoa ndo basi tena?
Wapi tunakosea ili ujifunze yasitukute na sisi?
Wazee wa sampuli hizi ,ukisikiaga ndugu wanakwambia umechange huwa unachukuaga hatua gani?
Regards.
Merry Christmas guys.
Bro alikua bonge la mshua, ukirudi likizo akianza kukupa mipango ya baadae lazima upige saluti "hapa tuna jembe la ukoo".
Jamaa full optmistic, kila mchongo unaomshirikisha mpe siku kadhaa ngoma lazima itiki.
Kwenye majira kama haya ya sikukuu, yaani home full shangwe, mambo yakiwa hayaeleweki, utasikia mcheck bro mshua!!!
Sasa tangu alipooa, everything has fallen apart!!
Ukimpigia simu kuja kupokea ni mbinde
Yani ukimiss call, thubutu akikupigia.
Kifupi bro-mshua kachange ile mbaya ila kimtindo kama mashambulizi kaelekeza ukweni, kule mashemeji wote wanamuona bonge la King Mswati.
Wadau ebu tulidadavue hili, mbona mashujaa wengi wakishaoa ndo basi tena?
Wapi tunakosea ili ujifunze yasitukute na sisi?
Wazee wa sampuli hizi ,ukisikiaga ndugu wanakwambia umechange huwa unachukuaga hatua gani?
Regards.
Merry Christmas guys.

