mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,037
Mabeberu ni manyang'au!! ni majambazi, mbele ya pesa hayana simile!! Huwezi kuamini kuwa mahakama ya juu ya London imeamua kuwa dhahabu yote ambayo serikali ya Venezuela iliyokuwa imeiweka akiba kwenye benki kuu ya Uingereza imilikiwe na serikali ya Venezuela inayoongozwa na Juan Guaido.
Cha ajabu ni kuwa hakuna serikali ya Venezuela inayoongozwa na Juan Guaido. Maana Juan Guaido alishindwa vibaya kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika huko venezuela, lakini kwa kuwa Juan Guaido ni kibaraka wa mabeberu wa nchi za magharibi, serikali za mabeberu ziliamua kumtambua Juan Guaido kama ndio mshindi wa uchaguzi na zikamtambua kama rais wa Venezuela.
Kwa hiyo mali zote zilizokuwa za Venezuela zilizowekezwa huko Uingereza na Marekani zikawekwa chini ya madaraka ya kibaraka Guaido. Rais halali aitwaye Maduro akaamua kushitaki mahakama ya juu ya mjini London kuiomba iizuie serikali ya uingereza kupora mali zake kwa kumtumia kibaraka Guaido.
Hizi ndizo waswahili husema kesi ya Tumbili kula mahindi ya watu kupelekwa kwa Nyani!! Mahakama ya juu mjini London imeamua kuwa serikali ya "Rais" Guaido (asiyekuwa na nafasi yoyote Venezuela) ndiye mwenye mamlaka na dhahabu yote iliyoko benki uingereza yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni moja!
Kwa Mabeberu hiyo ndiyo demokrasia!! Wananchi waq Venezuela wanateseka kwa umaskini uliotokana na vikwazo vya mabeberu na ambao wameamua kupora pesa na dhahabu yao kwa kumtumia kibaraka wao Guaido!
Inasikitisha kuwa hao mabeberu ndiyo tunaowaita kama "washirika wa maendeleo" hapa nchini kwetu!! Mataifa mengi kwa sasa yameanza kushtuka kuweka akiba zao za fedha za kigeni kwenye mabenki ya mabeberu! Kilichowakuta pia mabilionea wa Urusi walioporwa mabilioni ya dola za kimarekaniu kwa kisingizio eti wako karibu sana na Putin!! Tusiwachekee mabeberu!!
It marked the latest victory for Guaido, who has won a series of legal clashes over the bullion after the British government recognised him rather than Maduro as the South American country's president.
Cha ajabu ni kuwa hakuna serikali ya Venezuela inayoongozwa na Juan Guaido. Maana Juan Guaido alishindwa vibaya kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika huko venezuela, lakini kwa kuwa Juan Guaido ni kibaraka wa mabeberu wa nchi za magharibi, serikali za mabeberu ziliamua kumtambua Juan Guaido kama ndio mshindi wa uchaguzi na zikamtambua kama rais wa Venezuela.
Kwa hiyo mali zote zilizokuwa za Venezuela zilizowekezwa huko Uingereza na Marekani zikawekwa chini ya madaraka ya kibaraka Guaido. Rais halali aitwaye Maduro akaamua kushitaki mahakama ya juu ya mjini London kuiomba iizuie serikali ya uingereza kupora mali zake kwa kumtumia kibaraka Guaido.
Hizi ndizo waswahili husema kesi ya Tumbili kula mahindi ya watu kupelekwa kwa Nyani!! Mahakama ya juu mjini London imeamua kuwa serikali ya "Rais" Guaido (asiyekuwa na nafasi yoyote Venezuela) ndiye mwenye mamlaka na dhahabu yote iliyoko benki uingereza yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni moja!
Kwa Mabeberu hiyo ndiyo demokrasia!! Wananchi waq Venezuela wanateseka kwa umaskini uliotokana na vikwazo vya mabeberu na ambao wameamua kupora pesa na dhahabu yao kwa kumtumia kibaraka wao Guaido!
Inasikitisha kuwa hao mabeberu ndiyo tunaowaita kama "washirika wa maendeleo" hapa nchini kwetu!! Mataifa mengi kwa sasa yameanza kushtuka kuweka akiba zao za fedha za kigeni kwenye mabenki ya mabeberu! Kilichowakuta pia mabilionea wa Urusi walioporwa mabilioni ya dola za kimarekaniu kwa kisingizio eti wako karibu sana na Putin!! Tusiwachekee mabeberu!!
London's High Court rules against Venezuela's Maduro in $1 billion gold battle
LONDON, July 29 (Reuters) - London's High Court has rejected President Nicolas Maduro's latest efforts to gain control of more than $1 billion of Venezuela's gold reserves stored in the Bank of England's underground vaults in London.It marked the latest victory for Guaido, who has won a series of legal clashes over the bullion after the British government recognised him rather than Maduro as the South American country's president.