Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,225
- 12,948
Juan Guaidó ambaye aliungwa mkono na mataifa ya Ulaya mwaka baada ya kushindwa uchaguzi mkuu wa Urais na Nicolaus Maduro aliungwa mkono na mataifa yakimagharibi kuanzia Marekani na washirika wake wa Umoja wa Ulaya na kutangaza kuwa wao wanamtambua Juan Guaidó kama Rais wa taifa la Venezuela na sio Nicolas Maduro.
Mataifa ya Magharibi yaliendelea na msimamo uo kiasi cha kukamata mali zote za maduro na washirika wake pamoja na kufunga A/C za Nchi ambazo zinamilikiwa na Serikali ya Venezuela pamoja madini ya Dhahabu ambayo yalikuwa mali ya Serikali ya Venezuela.
Marekani alidhamiria kumfanyia kweli Maduro kwa kulishawishi mpaka jeshi lilete uasi kwa Maduro lakini washirika wakaribu wa Nicoras Maduro akiwemo na Vladimir Putin wa Urusi walimshika bega na kumpa support kiasi urusi kutuma wanajeshi wake kwenda kumlinda Maduro asipinduliwe na Wamagharibi.
Siku zimepita ila sasa mambo yamekuwa magumu kwa Guaidó, Wananchi wanamuona kama kirusi ambacho kilitumika kutaka kusambaratisha taifa lao nasasa hawamtaki tena.
Mataifa ya Magharibi yaliendelea na msimamo uo kiasi cha kukamata mali zote za maduro na washirika wake pamoja na kufunga A/C za Nchi ambazo zinamilikiwa na Serikali ya Venezuela pamoja madini ya Dhahabu ambayo yalikuwa mali ya Serikali ya Venezuela.
Marekani alidhamiria kumfanyia kweli Maduro kwa kulishawishi mpaka jeshi lilete uasi kwa Maduro lakini washirika wakaribu wa Nicoras Maduro akiwemo na Vladimir Putin wa Urusi walimshika bega na kumpa support kiasi urusi kutuma wanajeshi wake kwenda kumlinda Maduro asipinduliwe na Wamagharibi.
Siku zimepita ila sasa mambo yamekuwa magumu kwa Guaidó, Wananchi wanamuona kama kirusi ambacho kilitumika kutaka kusambaratisha taifa lao nasasa hawamtaki tena.