Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Wikendi hii nilipendeza kwa buku 10 tu: kiatu kipya cha kiofisi=3500 tshs pale Kariakoo ( Wajanja mnavijua ), nikapigilia na suruali ya 1500 tshs, shati=2000 tshs, saa ya buku 2 na mkanda wa buku.
Nimepiga zangu kiwi na pasi, nikiingia mahali naonekana nadhifu sana mpaka unaskia raha.
Jamani maisha Dar ni hesabu kidogo tu na pesa iko nje, ukishindwa maisha Dar kwingine utachemka nakwambia.
Nimepiga zangu kiwi na pasi, nikiingia mahali naonekana nadhifu sana mpaka unaskia raha.
Jamani maisha Dar ni hesabu kidogo tu na pesa iko nje, ukishindwa maisha Dar kwingine utachemka nakwambia.