Ukishawagawa watu hutoweza kuwaongoza

Cathelin

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
2,071
3,992
Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa zinaunganisha taifa yaani ilikuwa raha kumsikiliza. Badae Samia alibadilika na kuanza kugawa watu.

1. Samia alianza kubagua, kuwadharau na vijembe kwa watu waliokuwa kwenye serikali ya Magufuli (mnawaita Sukuma gang) akamtoa Bashiru, akamtoa Kakoko, Akamtoa Chamliho, akamtoa kalemani, akamtoa AG, sio vibaya kufanya mabadiliko Ila mabadiliko hayo yameleta minongono, na kuonyesha kuwa Samia alkuwa hakubaliani na JPM. Hii iliongeza chuki kwa watu mnaowaita Sukuma gang

2. Kuacha watu wamdhiaki Magufuli,, hii haikuwa poa, Magufuli alikemea waziwazi watu waliokuwa wanawatukana Mkapa na Kikwete, unaweza angalia video ya JPM Ile siku aliyokutana na John Thornton Chairman wa Barric Gold,alikemea waziwazi kwa watu wanaowatukana JK na BWK. Kupitia ili watu waliokuwa wanamuunga mkono JPM wamemchukia Samia.

3. Kesi ya Mbowe ndo funga kazi, Chadema walionekana kumuunga mkono Samia, mpaka Mbowe akaomba kuonana nae, from no where Mbowe akapewa bogus terrorism charges, Chadema ni Chama kikubwa whatever we like or not, ukishamfunga Mbowe unapoteza uungwaji mkono wa watu wengi Sana, Chadema inawanachama wengi almost 8m, hao ni watu wengii.Now kila mwana Chadema anamchukia Samia.

4. Kufukuza machinga mijini kwa Bara uku Zanzibar wanapiga kazi vizuri.

Kwa hayo Rais SSH, kwa hayo aliyoyatenda ashawagawa watu believe me hawezi fanikiwa Tena, na picha yenyewe ashaanza kuipata kwenye ziara zake,maana zinadoda hatari, bado nafasi anayo ya kurekebisha.
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa.
Kitendo cha kuacha baadhi ya Wabunge tena wa CCM kumdhihaki JPM bila kuwakemea kumezidisha hasira kwa Watanzania wengi sana.
Ikumbukwe kuwa, JPM alipendwa sana na Wananchi kutokana na kuwajali sana Wanyonge, kusimamia kwa nguvu zote utekelezaji wa miradi mbalimbali, ambayo kwa hakika ina manufaa kwa Wananchi.
Mambo mema aliyoyafanya JPM yanaonekana, na kila Mtanzania anayaona, hivyo JPM atakumbukwa milele kutona na hayo.
Kwa hiyo, ukijaribu tu kumdhihaki JPM, ujue unawadhihaki Watanzania wote wenye mapenzi mema na JPM, na wanaompenda JPM ni wengi mno kuliko mtu anavyofikiri.
Kabla hujafikiri kumdhihaki JPM, fikiri kwanza athari zake.
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa.
Kitendo cha kuacha baadhi ya Wabunge tena wa CCM kumdhihaki JPM bila kuwakemea kumezidisha hasira kwa Watanzania wengi sana.
Ikumbukwe kuwa, JPM alipendwa sana na Wananchi kutokana na kuwajali sana Wanyonge, kusimamia kwa nguvu zote utekelezaji wa miradi mbalimbali, ambayo kwa hakika ina manufaa kwa Wananchi.
Mambo mema aliyoyafanya JPM yanaonekana, na kila Mtanzania anayaona, hivyo JPM atakumbukwa milele kutona na hayo.
Kwa hiyo, ukijaribu tu kumdhihaki JPM, ujue unawadhihaki Watanzania wote wenye mapenzi mema na JPM, na wanaompenda JPM ni wengi mno kuliko mtu anavyofikiri.
Kabla hujafikiri kumdhihaki JPM, fikiri kwanza athari zake.
Sikuwahi kuona manufaa yoyote kwenye utawala wa JPM zaidi ya propaganda zake tu, Kama mwananchi wa kawaida doa kubwa litakalo mtesa mama ni kudandia kesi ya Mbowe
 
Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa zinaunganisha taifa yaani ilikuwa raha kumsikiliza. Badae Samia alibadilika na kuanza kugawa watu.

1. Samia alianza kubagua, kuwadharau na vijembe kwa watu waliokuwa kwenye serikali ya Magufuli (mnawaita Sukuma gang) akamtoa Bashiru, akamtoa Kakoko, Akamtoa Chamliho, akamtoa kalemani, akamtoa AG, sio vibaya kufanya mabadiliko Ila mabadiliko hayo yameleta minongono, na kuonyesha kuwa Samia alkuwa hakubaliani na JPM. Hii iliongeza chuki kwa watu mnaowaita Sukuma gang

2. Kuacha watu wamdhiaki Magufuli,, hii haikuwa poa, Magufuli alikemea waziwazi watu waliokuwa wanawatukana Mkapa na Kikwete, unaweza angalia video ya JPM Ile siku aliyokutana na John Thornton Chairman wa Barric Gold,alikemea waziwazi kwa watu wanaowatukana JK na BWK. Kupitia ili watu waliokuwa wanamuunga mkono JPM wamemchukia Samia.

3. Kesi ya Mbowe ndo funga kazi, Chadema walionekana kumuunga mkono Samia, mpaka Mbowe akaomba kuonana nae, from no where Mbowe akapewa bogus terrorism charges, Chadema ni Chama kikubwa whatever we like or not, ukishamfunga Mbowe unapoteza uungwaji mkono wa watu wengi Sana, Chadema inawanachama wengi almost 8m, hao ni watu wengii.Now kila mwana Chadema anamchukia Samia.

4. Kufukuza machinga mijini kwa Bara uku Zanzibar wanapiga kazi vizuri.

Kwa hayo Rais SSH, kwa hayo aliyoyatenda ashawagawa watu believe me hawezi fanikiwa Tena, na picha yenyewe ashaanza kuipata kwenye ziara zake,maana zinadoda hatari, bado nafasi anayo ya kurekebisha.
Amefeli mapema sn
 
Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa zinaunganisha taifa yaani ilikuwa raha kumsikiliza. Badae Samia alibadilika na kuanza kugawa watu.

1. Samia alianza kubagua, kuwadharau na vijembe kwa watu waliokuwa kwenye serikali ya Magufuli (mnawaita Sukuma gang) akamtoa Bashiru, akamtoa Kakoko, Akamtoa Chamliho, akamtoa kalemani, akamtoa AG, sio vibaya kufanya mabadiliko Ila mabadiliko hayo yameleta minongono, na kuonyesha kuwa Samia alkuwa hakubaliani na JPM. Hii iliongeza chuki kwa watu mnaowaita Sukuma gang

2. Kuacha watu wamdhiaki Magufuli,, hii haikuwa poa, Magufuli alikemea waziwazi watu waliokuwa wanawatukana Mkapa na Kikwete, unaweza angalia video ya JPM Ile siku aliyokutana na John Thornton Chairman wa Barric Gold,alikemea waziwazi kwa watu wanaowatukana JK na BWK. Kupitia ili watu waliokuwa wanamuunga mkono JPM wamemchukia Samia.

3. Kesi ya Mbowe ndo funga kazi, Chadema walionekana kumuunga mkono Samia, mpaka Mbowe akaomba kuonana nae, from no where Mbowe akapewa bogus terrorism charges, Chadema ni Chama kikubwa whatever we like or not, ukishamfunga Mbowe unapoteza uungwaji mkono wa watu wengi Sana, Chadema inawanachama wengi almost 8m, hao ni watu wengii.Now kila mwana Chadema anamchukia Samia.

4. Kufukuza machinga mijini kwa Bara uku Zanzibar wanapiga kazi vizuri.

Kwa hayo Rais SSH, kwa hayo aliyoyatenda ashawagawa watu believe me hawezi fanikiwa Tena, na picha yenyewe ashaanza kuipata kwenye ziara zake,maana zinadoda hatari, bado nafasi anayo ya kurekebisha.
U.pupu mtupu!
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa.
Kitendo cha kuacha baadhi ya Wabunge tena wa CCM kumdhihaki JPM bila kuwakemea kumezidisha hasira kwa Watanzania wengi sana.
Ikumbukwe kuwa, JPM alipendwa sana na Wananchi kutokana na kuwajali sana Wanyonge, kusimamia kwa nguvu zote utekelezaji wa miradi mbalimbali, ambayo kwa hakika ina manufaa kwa Wananchi.
Mambo mema aliyoyafanya JPM yanaonekana, na kila Mtanzania anayaona, hivyo JPM atakumbukwa milele kutona na hayo.
Kwa hiyo, ukijaribu tu kumdhihaki JPM, ujue unawadhihaki Watanzania wote wenye mapenzi mema na JPM, na wanaompenda JPM ni wengi mno kuliko mtu anavyofikiri.
Kabla hujafikiri kumdhihaki JPM, fikiri kwanza athari zake.
Hakika
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa.
Kitendo cha kuacha baadhi ya Wabunge tena wa CCM kumdhihaki JPM bila kuwakemea kumezidisha hasira kwa Watanzania wengi sana.
Ikumbukwe kuwa, JPM alipendwa sana na Wananchi kutokana na kuwajali sana Wanyonge, kusimamia kwa nguvu zote utekelezaji wa miradi mbalimbali, ambayo kwa hakika ina manufaa kwa Wananchi.
Mambo mema aliyoyafanya JPM yanaonekana, na kila Mtanzania anayaona, hivyo JPM atakumbukwa milele kutona na hayo.
Kwa hiyo, ukijaribu tu kumdhihaki JPM, ujue unawadhihaki Watanzania wote wenye mapenzi mema na JPM, na wanaompenda JPM ni wengi mno kuliko mtu anavyofikiri.
Kabla hujafikiri kumdhihaki JPM, fikiri kwanza athari zake.
Watu wakivyomdhihaki jk kipindi cha jpm mbona hawakukemewa
 
Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa zinaunganisha taifa yaani ilikuwa raha kumsikiliza. Badae Samia alibadilika na kuanza kugawa watu.

1. Samia alianza kubagua, kuwadharau na vijembe kwa watu waliokuwa kwenye serikali ya Magufuli (mnawaita Sukuma gang) akamtoa Bashiru, akamtoa Kakoko, Akamtoa Chamliho, akamtoa kalemani, akamtoa AG, sio vibaya kufanya mabadiliko Ila mabadiliko hayo yameleta minongono, na kuonyesha kuwa Samia alkuwa hakubaliani na JPM. Hii iliongeza chuki kwa watu mnaowaita Sukuma gang

2. Kuacha watu wamdhiaki Magufuli,, hii haikuwa poa, Magufuli alikemea waziwazi watu waliokuwa wanawatukana Mkapa na Kikwete, unaweza angalia video ya JPM Ile siku aliyokutana na John Thornton Chairman wa Barric Gold,alikemea waziwazi kwa watu wanaowatukana JK na BWK. Kupitia ili watu waliokuwa wanamuunga mkono JPM wamemchukia Samia.

3. Kesi ya Mbowe ndo funga kazi, Chadema walionekana kumuunga mkono Samia, mpaka Mbowe akaomba kuonana nae, from no where Mbowe akapewa bogus terrorism charges, Chadema ni Chama kikubwa whatever we like or not, ukishamfunga Mbowe unapoteza uungwaji mkono wa watu wengi Sana, Chadema inawanachama wengi almost 8m, hao ni watu wengii.Now kila mwana Chadema anamchukia Samia.

4. Kufukuza machinga mijini kwa Bara uku Zanzibar wanapiga kazi vizuri.

Kwa hayo Rais SSH, kwa hayo aliyoyatenda ashawagawa watu believe me hawezi fanikiwa Tena, na picha yenyewe ashaanza kuipata kwenye ziara zake,maana zinadoda hatari, bado nafasi anayo ya kurekebisha.
Nyie wapuuzi wa chato Embu kwendeni huko!

Hivi hamjishtukii kila muda na bi thread vyenu visivyo na kichwa wala miguu?

Kuna mtu aliyewagawa watanzania Kama mpuuzi wenu aliyesema live hawezi kupeleka maendeleo kwa watu wanaopigia kura upinzani?

Nyie jamaa ni wajinga na washamba sana na kibaya zaidi hamjui kuwa ni wajinga na washamba sana

Ni Magufuli au Nani aliyesemaga wastaafu wanawashwa washwa?
 
Back
Top Bottom