Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,193
- 926
Kuna ndugu yangu wa karibu alinunua hisa za kampuni inaitwa JATU wakijinasibu kuwalimia watu na kuwauzia mazao yao wao wasubiri faida tu.
Kilichotokea hisa wamenunua mazao wameuza kampuni imesema haina uwezo wa kulipa kila mkulima hela kulingana na mazao walioyouza.
Wakati huo huo wanasema wanahama Dar es Salaam wanaenda Rukwa.
Wakati wana hisa 70% wakazi wa Dar es Salaam.
Kwa kifupi wana hisa wa hiyo kampuni wanakaribia Kupigwa.
Kilichotokea hisa wamenunua mazao wameuza kampuni imesema haina uwezo wa kulipa kila mkulima hela kulingana na mazao walioyouza.
Wakati huo huo wanasema wanahama Dar es Salaam wanaenda Rukwa.
Wakati wana hisa 70% wakazi wa Dar es Salaam.
Kwa kifupi wana hisa wa hiyo kampuni wanakaribia Kupigwa.