loh Binadamu bwana kwa kusahau,nina harusi ya mdogo wangu,tukapatana wenyewe wana familia tuchomoane till tuwe na kianzio,sasa ili kutunisha mfuko nikasema on my side i hate michango(kwakuwa maisha ni magumu na wengi wanachukia) nitadeal na wale niliowachangia ..loh wenye fadhila wamerespond hao wengine unaona kama mtu anataka kujikausha..sitawadai ila ukumbuke ulipokula so usisahau kurudisha...michango ya harusi siku hizi ni DECI ukichangisha ndivyo utakavyorudisha