Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Hapa tuondoe tabaka zetu pamoja na itikadi tuziweke pembeni.
Sasa tuzungumze vitu serous kabisa vyenye mantic, kwa wewe unavyoona Masai wanaonewa hapa au ni mpango wa serikali kuanzisha vuguvugu ili ionekane hawako sahihi waondoke?
Masai kuishi kwenye hifadhi ya Ngorongoro serikali inakosa nini ambacho inakitafuta karne hii ya 21 katika hifadhi ya Ngorongoro?
Harakati hizi za kuwaondoa kwenye hifadhi yao zitainufaisha vipi Taifa na kulitoa hapa lilipo kwenda pahala pengine?
Wamasai wameishi Ngorongoro miaka na miaka kwa wanajua historia watanisaidia.
Hoja inayotolewa na waandishi wa habari ni kuwa, wamasai wanakufa kwa kuliwa na wanyama wakali na hukosa huduma za msingi kama wengine wa mijini au maeneo mengine ambayo hayapo kwenye hifadhi kama wao.
Vilevile wanaendelea kusema hata Elimu hakuna, huduma ya maji pia hakuna, watoto wanaishia kuchunga ng,ombe hawaendi shule na huduma ya afya pia hakuna.
Hayo ndio mawazo yanayotolewa na waandishi wa habari wanaopromot hiyo kazi.
Nimejiuliza sana miaka zaidi ya 60 hawa watu wapo humo na wanaishi maisha yao iweje leo uwaonee huruma watawala wangapi wamewaona na kuwaacha imekuwaje leo iwe hivi?
Nakaribisha maoni na mijadala iendelee karibu sana
Sasa tuzungumze vitu serous kabisa vyenye mantic, kwa wewe unavyoona Masai wanaonewa hapa au ni mpango wa serikali kuanzisha vuguvugu ili ionekane hawako sahihi waondoke?
Masai kuishi kwenye hifadhi ya Ngorongoro serikali inakosa nini ambacho inakitafuta karne hii ya 21 katika hifadhi ya Ngorongoro?
Harakati hizi za kuwaondoa kwenye hifadhi yao zitainufaisha vipi Taifa na kulitoa hapa lilipo kwenda pahala pengine?
Wamasai wameishi Ngorongoro miaka na miaka kwa wanajua historia watanisaidia.
Hoja inayotolewa na waandishi wa habari ni kuwa, wamasai wanakufa kwa kuliwa na wanyama wakali na hukosa huduma za msingi kama wengine wa mijini au maeneo mengine ambayo hayapo kwenye hifadhi kama wao.
Vilevile wanaendelea kusema hata Elimu hakuna, huduma ya maji pia hakuna, watoto wanaishia kuchunga ng,ombe hawaendi shule na huduma ya afya pia hakuna.
Hayo ndio mawazo yanayotolewa na waandishi wa habari wanaopromot hiyo kazi.
Nimejiuliza sana miaka zaidi ya 60 hawa watu wapo humo na wanaishi maisha yao iweje leo uwaonee huruma watawala wangapi wamewaona na kuwaacha imekuwaje leo iwe hivi?
Nakaribisha maoni na mijadala iendelee karibu sana