Oxygen gas
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 247
- 236
Salam kwanza;
Hii ni special both men/women,
Kuna wakati tunatakiwa kuheshimu hisia za mtu hasa akupendae..
Kuna manzi nilimtongoza akachomoa kama mara tatu, kwa kuwa huwa sina tabia ya kubembeleza sana niliamua kuachana nae. Sasa baada ya miezi kadhaa ameanza kunitumia sms za kunitega ili niendeleze mtongozo, kwa hapa nampa maumivu.
Akitaka kuwa nami lazima anieleze yeye mwenyewe kuwa amenipenda la sivyo imekula kwake. Siwezi kukulazimisha mie kwa miezi kadhaa kukutongoza. Kama umo humu bidada sahau kukutongoza tena.
UKIPENDWA KWA WAKATI, KUWA MZALENDO.
NB: Huyu manzi ni rafiki wa my ex girlfriend.
Hii ni special both men/women,
Kuna wakati tunatakiwa kuheshimu hisia za mtu hasa akupendae..
Kuna manzi nilimtongoza akachomoa kama mara tatu, kwa kuwa huwa sina tabia ya kubembeleza sana niliamua kuachana nae. Sasa baada ya miezi kadhaa ameanza kunitumia sms za kunitega ili niendeleze mtongozo, kwa hapa nampa maumivu.
Akitaka kuwa nami lazima anieleze yeye mwenyewe kuwa amenipenda la sivyo imekula kwake. Siwezi kukulazimisha mie kwa miezi kadhaa kukutongoza. Kama umo humu bidada sahau kukutongoza tena.
UKIPENDWA KWA WAKATI, KUWA MZALENDO.
NB: Huyu manzi ni rafiki wa my ex girlfriend.
=mara
yako hongera Kwa kulilia kutaka kutongozwa