Ukipanga nyumba moja Na wanawake

Ukipanga nyumba moja Na wanawake

mleta thread ana

Mleta thread anasema hivi: UKIPANGA NYUMBA MOJA NA WANAWAKE WENGI, WANAKUWA WANA MANENO MENGI SANA, KWA MFANO IKITOKEA ULIKUWA NA MWANAMKE NDANI KWAKO, HALAFU UKATOKA NJE UNATOKWA NA MAJASHO, BASI HAO WAPANGAJI WENZAKO WATAANZA KUONGEA MANENO MENGI MENGI JUU KAMA HAYO ALIYOYAORODHESHA HAPO JUU

*Ndo maana hanenepi
*Kulegezeana K tu
*Anatoa Salam ndeefu nikamshitukia
*Hapo bado yule mwembamba
*Itabid ahame tu hizi sifa
*Kila siku anakula matikit
*Atamkondesha mtoto wa watu
*Me hata simtaki hata kama ata nipa kigari chake bure
*Kujitakia maradhi tu
Ajifunze kiyaishi maisha yake, akiishi kwa kuangalia au kusikiliza fulani atapata taabu sana.
 
mleta thread ana

Mleta thread anasema hivi: UKIPANGA NYUMBA MOJA NA WANAWAKE WENGI, WANAKUWA WANA MANENO MENGI SANA, KWA MFANO IKITOKEA ULIKUWA NA MWANAMKE NDANI KWAKO, HALAFU UKATOKA NJE UNATOKWA NA MAJASHO, BASI HAO WAPANGAJI WENZAKO WATAANZA KUONGEA MANENO MENGI MENGI JUU KAMA HAYO ALIYOYAORODHESHA HAPO JUU

*Ndo maana hanenepi
*Kulegezeana K tu
*Anatoa Salam ndeefu nikamshitukia
*Hapo bado yule mwembamba
*Itabid ahame tu hizi sifa
*Kila siku anakula matikit
*Atamkondesha mtoto wa watu
*Me hata simtaki hata kama ata nipa kigari chake bure
*Kujitakia maradhi tu

wewe jamaa ni jinias...
 
Mkuu, sio kwamba hujui vitu. Unajua sana ila shida ni jinsi ya kuvielezea ili wengine wakuelewe. Nimekuelewa kwa taab sana baada ya kurudia kama mara nne hivi!
 
mleta thread ana

Mleta thread anasema hivi: UKIPANGA NYUMBA MOJA NA WANAWAKE WENGI, WANAKUWA WANA MANENO MENGI SANA, KWA MFANO IKITOKEA ULIKUWA NA MWANAMKE NDANI KWAKO, HALAFU UKATOKA NJE UNATOKWA NA MAJASHO, BASI HAO WAPANGAJI WENZAKO WATAANZA KUONGEA MANENO MENGI MENGI JUU KAMA HAYO ALIYOYAORODHESHA HAPO JUU

*Ndo maana hanenepi
*Kulegezeana K tu
*Anatoa Salam ndeefu nikamshitukia
*Hapo bado yule mwembamba
*Itabid ahame tu hizi sifa
*Kila siku anakula matikit
*Atamkondesha mtoto wa watu
*Me hata simtaki hata kama ata nipa kigari chake bure
*Kujitakia maradhi tu
[emoji106]
 
Hapana mdau ...mfano nilipamga nyumba mpyaaa Niko peke yangu ndio naanza maisha chumba na sebule self 2010 ... Nyumba ilikuwa na vyumba sita vyote sebule na self. Ghafla bin vuu wiki iliyofuatia waliamia wasichana vyumba vyote vilivyobaki na tuliajiriwa nao full singles ... Ila nilikula Bata Sana ... Maana sikupika mpaka nahama hapo Leo unaalikwa huku kesho kule yaani hoyahoya tu. Mmoja wapo akatokea kuwa mkwangua vocha basi freeesh nikiwa na vocha zangu naenda anakwangua naingiza vocha fresh mazungumzo ya kimwili yanaendelea
Hheee[emoji33][emoji33]mazngumzo ya kimwili ndonn?
 
Uzuri hapo unapikiwa tu ukiwa mchangamfu na kuwachekesha kidogo misosi inkufuata tu kila ukirudi jioni. We kazana kuwaita dada au besti🤣🤣🤣 cha msingi wasione uki import mzigo tu ili heshima iendelee kuwepo.
 
Nilipanga na wanawake wengi askari Jeshi , na madereva wa Big truck to Congo, kazi yao sasa utasikia naomba finyango mbili za nyama mwanangu hataki kula Mahahrage.

Mara baadhi ya wajeda wakaenda Darfur Sudan op. maalum ya UN, weeee! Yaaani Nilibakwa mie nawambia jamani, naomba niseme usicheze na mwanamke ambaye alizoea ku mbwato, then aukose mshedede, kwa muda usiojulikana, anakuwa km kichaa! make haijulikani atarudi au hatorudi huko Darfur.

Usisikie la kuambiwa Nyege ni mbaya sana,kwa mtu aliye kamili, na ni nzuri sana kwa mwenye kutumia kama mimi. msikiege tu. wanawake wanajua hili. bora sisi vidume ni wavumilivu.
mwenzenu si nikala mzigo lkn kwa siri kubwa,

na wakikuona huna videmu ndo km una watuma, waje, bora ujirusherushe kidogo.ptutututu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom