juakal
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 587
- 125
Wakuu nisiwachoshe, iko hivi:
Leo wakati nko na beiby wangu nayemwamini sana na nliekuwa na malengo ya kumfanya mke wangu, gafla simu yake ikaita kucheki jina ni Abdu ( kama yupo humu atakuwa shahidi), baby akapokea huyo abdu sijui alikuwa anaomba namba ya nani, sikufatilia zaidi.
Badae kidogo abdu akapiga tena, wakaongea kidogo,, sikufatilia. Baada ya muda akapiga tena, baby hakupokea, ndo Abdu akazidi kupiga kama missed call 7 hivi.
Ikabidi nimlazimishe baby apokee, akagoma nikamwambia mimi napokea, hapo ndo ukawa ugomvi sasa. Nikachukua simu kuchek call record nikakuta amejaa Abdu tangu siku za nyuma.
Abdu alivyozidi kupiga nikapokea, akauliza wewe ni nani? Nikamwambia mimi ni Flani na mwenye simu niko nae mbona unasumbua sana?
Akasema huyo ni demu wangu niko naye kama mwaka na nusu hadi mama yake ananifahamu, akanieleza kuwa hata jana walikuwa wote akamuomba nauli anaenda kumuona babu yake ( na kweli hiyo safari alikuwa nayo hata mimi aliniomba nauli nikamtumia).
Akazidi kusisitiza kuwa hata jana jioni alikuwa naye na aliona tunachat akawa amepotezea.
Baada ya hapo mtu mzima kijasho kikachuruzika mgongoni, na huyu baby akajitetea hivi:
Akasema huyu mtu alikuwa anamfatilia mda sana akamkataa sasa huwa anasumbua sana.
Akadai kuwa alikataa kunipa niongee naye kwa sababu alijua tu atamsingizia vitu ambavyo si vya kweli.
Ikabidi nimnyanganye baby simu ili niende nayo alaf nimrudishie j3 ila badae nikaamua kumrudishia.
Hadi sasa sijachukua uamuzi wowote, ila najua penye wengi hapakosi busara. Naombeni ushauri ndugu zangu maana ghafla kichwa changu kimekuwa kidogo sana,
Leo wakati nko na beiby wangu nayemwamini sana na nliekuwa na malengo ya kumfanya mke wangu, gafla simu yake ikaita kucheki jina ni Abdu ( kama yupo humu atakuwa shahidi), baby akapokea huyo abdu sijui alikuwa anaomba namba ya nani, sikufatilia zaidi.
Badae kidogo abdu akapiga tena, wakaongea kidogo,, sikufatilia. Baada ya muda akapiga tena, baby hakupokea, ndo Abdu akazidi kupiga kama missed call 7 hivi.
Ikabidi nimlazimishe baby apokee, akagoma nikamwambia mimi napokea, hapo ndo ukawa ugomvi sasa. Nikachukua simu kuchek call record nikakuta amejaa Abdu tangu siku za nyuma.
Abdu alivyozidi kupiga nikapokea, akauliza wewe ni nani? Nikamwambia mimi ni Flani na mwenye simu niko nae mbona unasumbua sana?
Akasema huyo ni demu wangu niko naye kama mwaka na nusu hadi mama yake ananifahamu, akanieleza kuwa hata jana walikuwa wote akamuomba nauli anaenda kumuona babu yake ( na kweli hiyo safari alikuwa nayo hata mimi aliniomba nauli nikamtumia).
Akazidi kusisitiza kuwa hata jana jioni alikuwa naye na aliona tunachat akawa amepotezea.
Baada ya hapo mtu mzima kijasho kikachuruzika mgongoni, na huyu baby akajitetea hivi:
Akasema huyu mtu alikuwa anamfatilia mda sana akamkataa sasa huwa anasumbua sana.
Akadai kuwa alikataa kunipa niongee naye kwa sababu alijua tu atamsingizia vitu ambavyo si vya kweli.
Ikabidi nimnyanganye baby simu ili niende nayo alaf nimrudishie j3 ila badae nikaamua kumrudishia.
Hadi sasa sijachukua uamuzi wowote, ila najua penye wengi hapakosi busara. Naombeni ushauri ndugu zangu maana ghafla kichwa changu kimekuwa kidogo sana,