Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kuna wakati katika maisha unapoona maji yamefikia shingoni usiogope kusema uongo ili kutimiza malengo yako ya sasa na baadae
Kwa dunia ya sasa mtu kukupa mtaji wa biashara ni ngumu sana hata kama ni mzazi wako, ndugu yako au watu wako wa karibu wengi watakupa stori kibao sijui hivi wala vile mara wee tulia tuu utapata kazi ,vitu kibao unahidiwa lakini hakuna kinachotekezwa mimi upande wangu ilivofika mahali nikaona mambo magumu nilichofanya nilitumia uwongo kama ifuatavyo
1. Cha kwanza nilidanganya ndugu zangu kuna kampuni ipo kigoma nimeitwa kwenye interview wanisapoti katika nauli hela ya kula kulala kwa siku tatu nilivyoupata mpunga nikauweka Tigo pesa kisha nikaenda kukaa kwa mshikaji wangu yupo mbagala siku nne ndo nikirudi dar
2. Cha pili niliwahi kudanganya ndugu zangu kuna shoti kozi flani ya computer nataka kusoma wakanichangia lakini ilikuwa ni fixii mpunga nikautia Tigo pesa
Baada ya muda kupita nikajaga kufungua duka la accessories za simu na umeme lakini hakuna ndugu anayejua kama nina hio biashara ambayo inanilipa kiasi fulani na hio ni siri yangu imebakia moyoni hakuna anaefahamu ila MUNGU anisamehe tuu na ndugu zangu popote walipo wanisamehe tuu lakini imebidi nifanye hivyo laa Sivyo maisha yangenishinda
Kwa dunia ya sasa mtu kukupa mtaji wa biashara ni ngumu sana hata kama ni mzazi wako, ndugu yako au watu wako wa karibu wengi watakupa stori kibao sijui hivi wala vile mara wee tulia tuu utapata kazi ,vitu kibao unahidiwa lakini hakuna kinachotekezwa mimi upande wangu ilivofika mahali nikaona mambo magumu nilichofanya nilitumia uwongo kama ifuatavyo
1. Cha kwanza nilidanganya ndugu zangu kuna kampuni ipo kigoma nimeitwa kwenye interview wanisapoti katika nauli hela ya kula kulala kwa siku tatu nilivyoupata mpunga nikauweka Tigo pesa kisha nikaenda kukaa kwa mshikaji wangu yupo mbagala siku nne ndo nikirudi dar
2. Cha pili niliwahi kudanganya ndugu zangu kuna shoti kozi flani ya computer nataka kusoma wakanichangia lakini ilikuwa ni fixii mpunga nikautia Tigo pesa
Baada ya muda kupita nikajaga kufungua duka la accessories za simu na umeme lakini hakuna ndugu anayejua kama nina hio biashara ambayo inanilipa kiasi fulani na hio ni siri yangu imebakia moyoni hakuna anaefahamu ila MUNGU anisamehe tuu na ndugu zangu popote walipo wanisamehe tuu lakini imebidi nifanye hivyo laa Sivyo maisha yangenishinda