alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Km nilivyosema,ni aibu kwa chama kikuu cha UPINZANI kumsumbua M/kiti taifa ktk makorongo na polini eti akipambanie chama ktk UCHAGUZI mdogo wa diwani-AIBU!
Ieleweke,si kosa bali ni AIBU!Kiongozi mkuu hapaswi kuwa front mwanzo mwisho kiivyo. Huyu alitakiwa kuwa mtu wa kwenda sehemu maalum tu na si vingunevyo.
Kampeni km hizo walitakiwa watoto wadogo km kina Katambi.
VINGINEVYO,hii ni taswira halisi ya chama kuwa ktk hali mbaya na kutokuaminika tena kwa wananchi.
Rudieni sera na mlichokuwa mnakihubiri toka enzi.
Ieleweke,si kosa bali ni AIBU!Kiongozi mkuu hapaswi kuwa front mwanzo mwisho kiivyo. Huyu alitakiwa kuwa mtu wa kwenda sehemu maalum tu na si vingunevyo.
Kampeni km hizo walitakiwa watoto wadogo km kina Katambi.
VINGINEVYO,hii ni taswira halisi ya chama kuwa ktk hali mbaya na kutokuaminika tena kwa wananchi.
Rudieni sera na mlichokuwa mnakihubiri toka enzi.