Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,582
- 28,734
Ukiona hicho kitabu na hako ka mpira unakumbuka enzi zipi?? Nini kilikua cha maana sana kwako wakati huo???
![]()
![]()
How many times?[/QUOTE
Enzi izo ndugu yangu mwalimu akipita kama kapita Vampire of all ages, sio siku hizi wanafunzi wana add walimu eti friend kwenye facebook!!!
Ukiona hicho kitabu na hako ka mpira unakumbuka enzi zipi?? Nini kilikua cha maana sana kwako wakati huo???
![]()
![]()
Nakumbuka magoli ya mawe. hakukawii kuzuka ubishani: "sio goli, imekata goli!"