stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
Ha ha ha eti hadi shumizi.
kila mtu akisema anyamaze na lake hili jukwaa utahamia kule kwa dr slaa na mwigulu...btw vicky anaendeleajemkeo unashindwa kumwambia live, unakimbilia kumtukania jf.
he he, nyie wanamme wa kileo mna mamboo
hee huyo mke anaenda kupata shida mara hii hata kabla honeymoon haijaisha masemango yameanza?
nimefanya research ujue...tuna miaka miwili now...tukiendaga kwao huwa anazivaa kwa muda ambao tutakua apo...labda akipika au kusaidia vikazi apo kwao...na anazipenda...!si azichukue??
Sioni tatizo mtu kuja na nguo chache kwanza wengi wakiolewa wanapata zawadi nguo nyingi bila shaka zinakuwa mpya,sasa ukitaka abebe hata visepele vyake vya zamani si ni kumwaibisha mwenzio,pia inabidi aanze maisha mapya manguo ya zamani ya kazi gani? Unatakiwa kumtunza mke si vinginevo.
Sioni tatizo mtu kuja na nguo chache kwanza wengi wakiolewa wanapata zawadi nguo nyingi bila shaka zinakuwa mpya,sasa ukitaka abebe hata visepele vyake vya zamani si ni kumwaibisha mwenzio,pia inabidi aanze maisha mapya manguo ya zamani ya kazi gani? Unatakiwa kumtunza mke si vinginevo.
mimi kwakweli nitaenda na nguo niliyova tu hats kanga za kitchen party naacha om
Ahahahaha good afternoon JF!
Ndo ujue kwako hajaja kula, kulala wala kuvaa.....
kitanda, misosi na nguo hata kwao vipo babuuuu!!!!
hebu mshauri mwanaume mwenzio, huyu mwanaume anawaka tu looohhh
mmh mimi nitanunua nguo mpya zote ndo naenda nazo kwa mume wangu
ha ha ha ha ha hah mwanzoni tu umeanza lalama ikifika miaka kumi unalo