hawa mbwa wa kizungu wanaleta usharobaro bongo? ngoja jamaa aje na boda boda au mkokoteni uone atakavyo mpitia. anajifanya kuticha magari ya barabarani. ona alivyo tuna.
Figga uko juu, even bloggers wa Bongo wamebaki ku-copy picha za wenzao yani ukifungua blog zote za kibongo utadhani zinamilikiwa na mtu mmoja. Wanakosa utundu wa kukamata matukio simple kama haya. Mia aka 100.
ni kweili ni bora utamani coz huo weusi ni balaa mzeeiya daaah mpaka nimeogopa yani nilivyo angalia na huyo mtoto uliekaa nae hapo yani ndo balaaa kabisaaaaa....>!