Ukiniacha Nakuloga


Hahahahaha!!!!Duh!!Makubwa,,,,,,,ndo basi tena mkuu yaani kama aliondoka na mavuzi yako,hapo jua moja tu kuwa ndo mke
 
huyu bujibuji nasikia ni mwanamke, sasa naona anatoa story kama yeye ni mwanaume, au ni msiginaji
 
Hahahaaaaaaa nimecheka hadi kupaliwa loooo aiseee kuna vituko dunia hii huyu dada kaniacha hoi
 
Kwani wewe leo ndiyo mara ya kwanza kwa uongo acha habari zako bana za kutunga uongo hapa.
 
Madame B nahitaji msaada wako
Kaka mi nakujua we muongo bana unakumbuka siku ile umetudanganya eti umekuta sms ya mapenzi kwa mke wako halafu baada ya siku chache tena ukajishu ukasema huna mke tukuelewaje sasa.
 
Kaka mi nakujua we muongo bana unakumbuka siku ile umetudanganya eti umekuta sms ya mapenzi kwa mke wako halafu baada ya siku chache tena ukajishu ukasema huna mke tukuelewaje sasa.
Elewa tu hata kwa njia ndefu, wakati mwingine ni mapepo wachafu tu hunipelekesha
 
ha ha ha ha LOL mwambie asikilize huu wimbo hapa chini

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…