sifa murua toka kinywani mwa mwanaume! kuongezea ni kuwa imekuwa ikisifiwa sana kwa kutumia maneno bandia kwani pamoja na umaarufu wote ilionao, na kupendwa kote inakopendwa, na pesa zote inazolipwa, na sherehe zote inazofanyiwa, na ng'ombe, mbuzi, kuku nk wote inaochinjiwa, vinywaji vote inavyoteketezewa, lakini wote hugwaya kulitaja jina lake waziwazi! haha inapendwa, inagharimiwa lakini haitajwi jina, inaogopwa!
Watani zangu wazaramo wanakiita "kinyama cha ugomvi".
yaaani ni kama kiti cha basi ni sawa na daladala ya mbagala ukiinuka tu anakaaa mwingine tena kwa kugombania...............
ah Preta ntatembelea YAEDA CHINI SOON!!! kuna mmasai alikuwa ananifundisha lugha yao, sasa akaniona na dada mmoja hivi mrembo tunasalimiana akaniuliza rafiki ulikuwa unaulisia NGOMOSI nini hahahahah SAMAHANI wamasai wote km nimewakwaza lkn ndo hali halisi hiyooo
Ngo**si+Enjab*=ukinasa hunasuki,ukigusa huachi.
Iting'o.
Ukimaliza kula...inaoshwa vzuri...anapakuliwa mwingine.
YERo nyie nafumbia mimi eeenh!!! nasema hiyo ni NGOMOSI
hahahahah,hiyo kitu ni genuine bana,hata wendawazim wana-i-admire duh
Haichachi wala haiwi kiporo
Kila atakae gusa ataisifia tamu,
Haina size kama kiatu kusema hii si saiz yangu!
Ndo hapo sweet tunapointerfere sasa, vipi mwaka umeuanzaje lakini?mwenzio nakumiss tu jingine hamna
hata hilo jina inafit tu mkuu...
unanimiss wakati nimejaa tele!
Wasukuma na Wamaasai wanaita je?Watani zangu wazaramo wanakiita "kinyama cha ugomvi".
Wasukuma na Wamaasai wanaita je?