ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,388
- 118,832
Kwanza ulifanya vizuri kuuliza future ya uhusiano wenu....mwaka mmoja unatosha kabisa kwa yeye kujua kama wewe ni chaguo lake ama vipi. lakini pia, hata wewe kujua, japo kwa maelezo yako unaonekana kuwa tayari yeye kufanya proposal ya kukuoa.
Sasa ni wakati wako kufanya maamuzi magumu, otherwise utajiweka kwake na baada ya miaka mingine miwili, ukajikuta unapigwa chini na anaolewa mwingine.
Ushauri: Ni bora ukawa singo, kuliko kuwa na mtu ambaye mmeishi mwaka mmoja na ana malengo lakini katika hayo malengo wewe sio sehemu yake.....Kwani huwezi kukituliza kwa mda, jaribu kukaa singo kwa mda..!
Sasa ni wakati wako kufanya maamuzi magumu, otherwise utajiweka kwake na baada ya miaka mingine miwili, ukajikuta unapigwa chini na anaolewa mwingine.
Ushauri: Ni bora ukawa singo, kuliko kuwa na mtu ambaye mmeishi mwaka mmoja na ana malengo lakini katika hayo malengo wewe sio sehemu yake.....Kwani huwezi kukituliza kwa mda, jaribu kukaa singo kwa mda..!