Ukimya wake unaniumiza

Ukimya wake unaniumiza

Kujua muafaka ni muhimu lakini sa kamind nini, ndoto zinaweza kutimia hata baada ya miaka mia, pole mtafute tu huna haja ya kuendelea kujiumiza!!!!

Nadhani hilo jibu lako ni murua sana
 

Attachments

  • 1413187203305.jpg
    1413187203305.jpg
    18.7 KB · Views: 242
Habarini za asubuhi wana Jamiiforums

Nombeni ushauri wenu, nina mpenzi . Jana nikauliza naomba kujua msimamo wako juu ya mahusiano yetu. Akajibu binafsi nina malengo na ndoto zangu kama unaona nakuchelewesha nakuruhusu nenda kwa mwingine atayekuoa haraka.

Sikumiibu chcochote na mawasiliano yakaishia pale. Kila mmoja yupo kimya, ukweli mimi naumia maana ninampenda,
sasa wadau nishaurini nianze tu mimi kumtafuta? Au niendelee kukaa kimya au nifanyeje?

Ushauri tafadhali- mahusiano yetu yana mwaka sasa.
Hakuna mume Hapo tafuta mwingine haraka
 
Habarini za asubuhi wana Jamiiforums

Nombeni ushauri wenu, nina mpenzi . Jana nikauliza naomba kujua msimamo wako juu ya mahusiano yetu. Akajibu binafsi nina malengo na ndoto zangu kama unaona nakuchelewesha nakuruhusu nenda kwa mwingine atayekuoa haraka.

Sikumiibu chcochote na mawasiliano yakaishia pale. Kila mmoja yupo kimya, ukweli mimi naumia maana ninampenda,
sasa wadau nishaurini nianze tu mimi kumtafuta? Au niendelee kukaa kimya au nifanyeje?

Ushauri tafadhali- mahusiano yetu yana mwaka sasa.
Hii Dunia ya Mungu ni kubwa na ina mabo mengi sana,Muda wa sisi wa kuishi ni mdogo sana,jaribu kujipa furaha,chapa mwendo utampata atakaye kufaa,enjoy,be happy.ciao
 
mmh mara nyingi mwanaume akitamka hivyo then baada ya hapo akaamua kuuchuna ujue moyoni mwake nafasi yako ni ndogo, yani uwepo wako kwenye maisha yake na kutokuwepo hakumpunguzii chochote, na hiyo hali kwa sisis wasichana hasa kama umempenda psychologically huwa inatuumiza mno, kwahiyo naelewa unavyojisikia, Pole mdogo wangu ila kama ni FUTURE unaitaka hapo sijui kama IPO
 
Hajali hisia zako usihangaike nae hata kama hahitaji ndoa kwa sasa angekutafuta mkalizungumza hilo kwamba ipo hiyo ndoa ila baada ya malengo yake kadhaa kutimia na ungekuwa mshauri wake wa karibu. Amejua unampenda sana ila yeye hakuhitaji kama mke ila girl friend ndio maana amekupa ruksa ya kutafuta wa kukuoa, inaumiza sana kuwa kwenye situation uliyopo ni bora kuvumila maumivu yataisha uendelee na maisha yako, kung'ang'nia hapo ni kuendelea kupokea maumivu mengine itafika siku atakutambulisha mchumba ake laba vigezo anavyovihitaji wewe huna. Umeanguka simama endelea na safari hilo goti ulilolichubua litapona mumy.
 
Hajali hisia zako usihangaike nae hata kama hahitaji ndoa kwa sasa angekutafuta mkalizungumza hilo kwamba ipo hiyo ndoa ila baada ya malengo yake kadhaa kutimia na ungekuwa mshauri wake wa karibu. Amejua unampenda sana ila yeye hakuhitaji kama mke ila girl friend ndio maana amekupa ruksa ya kutafuta wa kukuoa, inaumiza sana kuwa kwenye situation uliyopo ni bora kuvumila maumivu yataisha uendelee na maisha yako, kung'ang'nia hapo ni kuendelea kupokea maumivu mengine itafika siku atakutambulisha mchumba ake laba vigezo anavyovihitaji wewe huna. Umeanguka simama endelea na safari hilo goti ulilolichubua litapona mumy.

una ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom