UKIMWI bado upo?

UKIMWI bado upo?

Hongera kwa kuuliza swali, kwani aulizaye ataka kujua
 
Gusa unase,ukimwi upo tena wakumwaga,kati ya watu 10 utakaowaona,karibu wa 5 wameumia,wanawake ndio wengi wameumia,kati ya wanawake 10 , sita wameumia.
 
Ukitaka kuthibitisha nenda muhimbili kitengo cha wazazi wajawazito,nurse akipima hakikuta haujaumia anashangaa.
 
hivi ni kweli ukimwi umeisha nguvu, au ndo umeshazoeleka..???

Ukimwi upo na utaendelea kuwepo kwakuwa kupitia huo ukimwi wengi wametoka kimaisha na mojawapo ya idara zinazozalisha ajira kwa wingi
 
Upo lakini hauna madhara tena na sio ugonjwa hatarishi......
Kirusi chake kimebadili umbo ambalo halinamadhara kutokana na vyakula lishe tunavyokula kila siku....
 
Nadhani makali yamepungua

Hapana hali ni mbaya kama huamini tembelea vituo vya PASADA uone! Kwa mfano kituo kimoja tu cha PASADA Temeke kuna maambukizi mapya 300 daily!!!! Hali nimbaya
 
Back
Top Bottom