Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
Jamaa kapata kimwana Temeke, ili am impress akaendesha gari lake hadi Kunduchi wakakaa kando ya bahari mahaba mazito yalifuatiwa na unywaji hatimae kulala, kabla ya kulala mdada akasema;
MDADA: Samahani najua utakasirika lakini lazima niseme, mi niko kazini ukitaka nilale hapa ni shilingi alfu 20 mpaka asubuhi.
MKAKA: Dah haya powa akalipa kitwenti wakalala....asubuhi wakaoga vizuri wakatoka nje kwenye gari mdada akapanda jamaa kabla hajawasha gari akakohoa kidogo kisha akamwambia mdada;
MKAKA: Samahani najua utakasirika lakini lazima niseme, mi taxi dreva niko kazini, ukitaka usafiri mpaka Temeke ni shilingi alfu 50
MKAKA: Dah haya powa akalipa kitwenti wakalala....asubuhi wakaoga vizuri wakatoka nje kwenye gari mdada akapanda jamaa kabla hajawasha gari akakohoa kidogo kisha akamwambia mdada;
MKAKA: Samahani najua utakasirika lakini lazima niseme, mi taxi dreva niko kazini, ukitaka usafiri mpaka Temeke ni shilingi alfu 50