Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
i will be calling her by her name!....
though she always calls me HNY
juzi mama mkwe ananiuliza kwanini namuita mr kwa jina lake japo nimuite baba fulani...haa ctaweza, yeye aendelee kuniita hivyo hvyo mumy lakini mie namtwanga kwa jina lake orijino.