Ukimstahi Mke huzai naye.....

Ukimstahi Mke huzai naye.....

ndugu yangu maisha haya mafupi sana ..ukiwa sana serious mtu unaweza kufa ghafla.halafu utakonda bure...we jiachie tu ajira utapata ndugu yangu. hilo lisikuumize sana kichwa.endelea kuomba na kuomba ipo kazi yako sehemu flan.it will be yours. mi nilishaamua ku relax inchi yeu ndo hii hii miaka nenda rudi.wacha si tujilie tu raha..tunaweka shida chini tunanyosha mikono juu tuna bandua tu....

Thread zako hua zinanisahaulisha tatizo langu la ajira
Nikioa nitafanya hivyo
 
Haya mambo pia tunaruhusiwa kuwafanyia GF zetu ambao hatujaoa au ni special kwa ndoa ili kulinda heshima ya ndoa?
ndugu yangu maisha haya mafupi sana ..ukiwa sana serious mtu unaweza kufa ghafla.halafu utakonda bure...we jiachie tu ajira utapata ndugu yangu. hilo lisikuumize sana kichwa.endelea kuomba na kuomba ipo kazi yako sehemu flan.it will be yours. mi nilishaamua ku relax inchi yeu ndo hii hii miaka nenda rudi.wacha si tujilie tu raha..tunaweka shida chini tunanyosha mikono juu tuna bandua tu....
 
anzia hapo hapo.. maana waswahili wanasema "CHELEWA CHELEWA UTAMKUTA MWANA SI WAKO " hata usipokuja kumwoa atakuwa anakukumbuka tu kuwa kwa hakuna matata kuna matata yake lakini.... hata akiwa peke yake anatabasamu anatikisa kichwa .... anakuombea maisha mema huko uliko.
Haya mambo pia tunaruhusiwa kuwafanyia GF zetu ambao hatujaoa au ni special kwa ndoa ili kulinda heshima ya ndoa?
 

anzia hapo hapo.. maana waswahili wanasema "CHELEWA CHELEWA UTAMKUTA MWANA SI WAKO " hata usipokuja kumwoa atakuwa anakukumbuka tu kuwa kwa hakuna matata kuna matata yake lakini.... hata akiwa peke yake anatabasamu anatikisa kichwa .... anakuombea maisha mema huko uliko.
 
Umeongea fact GuDume shemeji yako pia analijuaga hilo when it comes into show nakuaga weird kiasi cha kumfanya asiwe na hamu ya kufikiria wa huko nje. Nikisema weird namaanisha yani linapigwa show la kibabe mpaka mtu anakimbia kitanda akitoka hapo wiki nzima hana hamu yaani ukigusia tu hata kwa utani unaona anatia huruma anakwambia ngoja ipoe ujue juzi ulinikomesha.
 
Mimba kama ya kuingia inaingia tu sio mpaka kuhenyeshana kiasi hicho.

Mapenzi raha jamaani Gudume sababu kwa jinsi unavyoelezea kama ukimchapa leo ndio mwisho. Khaaa.
labda itakua ni kwa wiki mara moja tu so huwa anafidia
 
Back
Top Bottom