Ukimpata wa aina hii andika maumivu

Ukimpata wa aina hii andika maumivu

Wisest man

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
993
Reaction score
332
Ktk pitapita zangu hususani ktk mitandao ya kijamii nimeona watu wanaelezea hisia zao juu ya aina ya mwanaume/mwanamke anayemvutia, kwa wadada wengi wanasema pesa, urefu nk. kwa upande wa wanaume ni sura, figure nk sasa wewe kama ni mdada mwanaume anakwambia kuwa amekupenda kwa sababu ya sura jiulize endapo utapata ajali na kuharibika kama utaendelea kupendwa na kwa wewe mkaka jiulze kama mdada anasema kuwa pesa na urefu ndo mpango mzma, jiulize kama wewe ndo mrefu na pesa unayo wewe peke yako?
 
Mapenzi ya siku hizi bana ni Timing lakini ukiwa na pesa ndo SECURITY

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
embu watujib...eti wa mdada siku huyo mrefu wako akipata ajali akatwe miguu... Would u still hug him..?

Dah nimemaliza kuandika hii nimeukumbuka wimbo wa 21 Questions wa 50 CENT.. Mkuu BAK kama vp tupia hlo song
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kama fedha ndonsecurity yako, siku mkeo akiwa karibu na kina mo si utakufa kibudu?
Mapenzi ya siku hizi bana ni Timing lakini ukiwa na pesa ndo SECURITY

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
embu watujib...eti wa mdada siku huyo mrefu wako akipata ajali akatwe miguu... Would u still hug him..?

Dah nimemaliza kuandika hii nimeukumbuka wimbo wa 21 Questions wa 50 CENT.. Mkuu BAK kama vp tupia hlo song

lakini unaone ww ni mfupi.
 
Last edited by a moderator:



embu watujib...eti wa mdada siku huyo mrefu wako akipata ajali akatwe miguu... Would u still hug him..?

Dah nimemaliza kuandika hii nimeukumbuka wimbo wa 21 Questions wa 50 CENT.. Mkuu BAK kama vp tupia hlo song
 
Last edited by a moderator:
sasa haya mambo yanazidi kuwa magumu unakutana na kila mwanaume ni kukusifia tuu umbo lako zuri sasa tutabaki single mpaka lini?
 
Huwa nashangaa sana nakuta msichana letsay 26 year na kwenda mbele...ukimuuliza unataka nini kwenye mapenzi alafu anakutajia sifa za nje....inashangaza sana kwa kweli...
 
Huwa nashangaa sana nakuta msichana letsay 26 year na kwenda mbele...ukimuuliza unataka nini kwenye mapenzi alafu anakutajia sifa za nje....inashangaza sana kwa kweli...

sa izo alzokutajia si ndio anazozitaka jameni na umemuuliza mwenyew au??
 
Huwa nashangaa sana nakuta msichana letsay 26 year na kwenda mbele...ukimuuliza unataka nini kwenye mapenzi alafu anakutajia sifa za nje....inashangaza sana kwa kweli...
Ukubwa wa umri sio werevu wa akili....Mtu anapevuka kutokana na majaribu aliyoyapitia....Isitoshe watu wanatofautiana mahitaji yao wengine muonekano kwao ni muhimu kuliko vitu vingine...Na kuna sie ambao tuna priorities nyingine....🙂
 
Hayo ndo mapenzi ya digitali mkuu kama wewe bado uko analogia basi huna budi kuhamia kule ulimwengu ulipo kwa sasa.
 
^^
Unapendwa kwa sifa za nje,,sifa za ndani mpaka upate anaejua maisha ni nini na anaejua kuwa ndoa ni upendo kwanza.
^^
 
mapenz ya skuhz ndomana yanatushnda, kila sku kutafta afadhali...
 
Back
Top Bottom