Ukileta tumbili wawili unapewa mke

Ukileta tumbili wawili unapewa mke

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,853
Wadau, jana nilikuwa nilisikia kabila la waberbaig wao mahari ni nyani dume wawili...kiroho safi unapewa mke. Nilichojifunza usidharau tamaduni zisizozako....kwani kila jambo linathamani kubwa kwa jamii husika ingawa kwako laweza kuwa la kustajabisha ama kuchekesha.
#Heshimu tamaduni za wengine.
 
Kafu ninaye tyari mwingine subiri niombe kibali kwanz nisijeitwa jangili
 
Wadau, jana nilikuwa nilisikia kabila la waberbaig wao mahari ni nyani dume wawili...kiroho safi unapewa mke. Nilichojifunza usidharau tamaduni zisizozako....kwani kila jambo linathamani kubwa kwa jamii husika ingawa kwako laweza kuwa la kustajabisha ama kuchekesha.
#Heshimu tamaduni za wengine.
Nyani wawili unapewa mke! Ungezama ndani ya tamaduni za hilo kabila ili kutuonesha kwa nini nyani anathaminiwa kiasi hicho.Sasa mleta thread umeniachia mshangao mkubwa na mastaajabu! Kwa nini nyani? Kwa nini isiwe mbuzi, kondoo, ng'ombe nk?Lete thread nyingine ya kueleza undani zaidi.
 
umechanganya mawazo....hilo kabila ni wahadzabe(wawindaji) na siyo wabarbeig.....wabarbeig aka wamang'ati ni wafugaji....
 
Unashangaa Tumbili huku kwetu BILA Pembe za Ndovu na meno yake hupati mke!
 
Wadau, jana nilikuwa nilisikia kabila la waberbaig wao mahari ni nyani dume wawili...kiroho safi unapewa mke. Nilichojifunza usidharau tamaduni zisizozako....kwani kila jambo linathamani kubwa kwa jamii husika ingawa kwako laweza kuwa la kustajabisha ama kuchekesha.
#Heshimu tamaduni za wengine.

Mkuu uko serious au ni utani na MIJIZI ya ESCROW????
 
Habari hii si kweli hata kidogo. Nimeishi na wabarbaig kwa muda mrefu sasa lakini sijaliona hili analozungumzia mtoa mada. Moja ya vitu muhimu katika mahari ya wabarbaig ni asali mbichi ikiambatana na kondoo na ng'ombe. Habari ulizopewa mtoa mada hazina ukweli wowote.
 
Bagolole acha kuwapotosha wenzako Mimi ndio Kabila langu bwana sio tumbili kawazoe wezi wote wa bungeni ndio mahari kwetu
 
Hilo kabila wangelihamishia Congo ingekuwa ndo mahala pake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom