Ukikataliwa kwenu ni laana

Ukikataliwa kwenu ni laana

H.T.P

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,169
Reaction score
1,298
Kwakweli sasa nimefikia conclusion kwamba, Magufuli hata angekuwa na rangi zaidi ya zile za kinyonga, hawezi kuwa Rais wa hii nchi. Nasema hivyo si kwa ushabiki bali kwa uhalisia wa hali halisi ilivyo. Jana tumeona kilichotokea kule Chato/Geita wananchi wamemkataa Magufuli hadhari huku wengine wakiomba kabisa kwa kelele ili azomewe na UKAWA.

Jamani tuacheni kufarijiana uongo, pamoja na fiesta anazofanya Magufuli za bure akiwa katika mikutano yake ni dhahiri kabisa kwamba hatokua Rais...kwanza mtu ambaye hata mke wake amekataa kuambatana naye japo kuwa zimefanyika jitihada za kutosha kumshawishi lakini hataki, labda akiingilia kati mama nyerere atasaidia..any way hayo ya mtu na mkewe tuyaache japo yanatuhusu maana ni hatima ya mama wa taifa endapo pombe angeshinda lakini sasa kwa sababu mazingira yamekataa...basi tena.

Kwa wakiristo watakubaliana na mimi kwamba imeandikwa katika bibilia takatifu kwamba, asiyejali watu hasa wa nyumbani kwake ni mbaya kuliko asiye amini. Magufuli ni mbaya kuliko hata tunavomchukia..

Tanzania mwaka huu lazima iokoke kutokana na tabu na mateso ya miaka hamsini na sio magufuli wa kutusaidia bali Lowasa.....ninapotafakari na kufungua sana macho namuona Lowasa akiwa na dhamiri kamili ya kumnsaidia mtanzania...kwa sababu: kwanza amesemwa sana vibaya, hivyo lazima afanye kila jitihada kuuhakikishia uma wa watanzania kuwa, yeye ni mtu mwema mwenye mapenzi mema...kiukweli tukiacha mihemko Lowasa atatusaidia
 
ndugu yangu huo msema ni mpana sana hukumuelewa yesu...bora ukataliwe kwenu ukiwa umetenda mema...wewe unakataliwa kwenu umetenda maovu! "utayumba yumba kama mlevi hutapata msaada"
 
Wananchi hawadanganyiki Jamani .... Misifa bila utendaji hawautaki ... Chato ndo kiini cha Ukombozi wa watanzania
 
kama tungekuwa hatujaona wenyewe kwa macho yetu ungeweza kutudanganya lakini kwakuwa tumeona kamdanganye fisadi Lowasa na wajinga wengine.
 
lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.............watuuuu........mabadilikoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.magufuliiiiiii.......mhafidhinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaqqqqqqq
 
Lowassa tumaini la watz wengi,amejipanga kutuletea mchaka mchaka wa maendelea,
nchi hii hatumez kumpa mtu ambaye ata hajui atatufanyia nn ikulu kama Makufuli
 
Binafsi sina tatizo na Magufuli, bali chama chake ndio janga
 
Kwakweli sasa nimefikia conclusion kwamba, Magufuli hata angekuwa na rangi zaidi ya zile za kinyonga, hawezi kuwa Rais wa hii nchi. Nasema hivyo si kwa ushabiki bali kwa uhalisia wa hali halisi ilivyo. Jana tumeona kilichotokea kule Chato/Geita wananchi wamemkataa Magufuli hadhari huku wengine wakiomba kabisa kwa kelele ili azomewe na UKAWA.

Jamani tuacheni kufarijiana uongo, pamoja na fiesta anazofanya Magufuli za bure akiwa katika mikutano yake ni dhahiri kabisa kwamba hatokua Rais...kwanza mtu ambaye hata mke wake amekataa kuambatana naye japo kuwa zimefanyika jitihada za kutosha kumshawishi lakini hataki, labda akiingilia kati mama nyerere atasaidia..any way hayo ya mtu na mkewe tuyaache japo yanatuhusu maana ni hatima ya mama wa taifa endapo pombe angeshinda lakini sasa kwa sababu mazingira yamekataa...basi tena.

Kwa wakiristo watakubaliana na mimi kwamba imeandikwa katika bibilia takatifu kwamba, asiyejali watu hasa wa nyumbani kwake ni mbaya kuliko asiye amini. Magufuli ni mbaya kuliko hata tunavomchukia..

Tanzania mwaka huu lazima iokoke kutokana na tabu na mateso ya miaka hamsini na sio magufuli wa kutusaidia bali Lowasa.....ninapotafakari na kufungua sana macho namuona Lowasa akiwa na dhamiri kamili ya kumnsaidia mtanzania...kwa sababu: kwanza amesemwa sana vibaya, hivyo lazima afanye kila jitihada kuuhakikishia uma wa watanzania kuwa, yeye ni mtu mwema mwenye mapenzi mema...kiukweli tukiacha mihemko Lowasa atatusaidia

Fisadi lowasa labda atamsadia babaako kazi sio sisi. Propaganda za kitoto kabisa.
 
Yesu alikataliwa na wayahudi, kwa hiyo na yeye ana laana? Acha kula hela za huyo mzee mgonjwa mwacheni akajitibie hela zake.
 
Lowassa tumaini la watz wengi,amejipanga kutuletea mchaka mchaka wa maendelea,
nchi hii hatumez kumpa mtu ambaye ata hajui atatufanyia nn ikulu kama Makufuli

Ajipange vipi kuleta mchakamchaka wa maendeleo wakati hata kujifuta udenda hawezi! Hizo ni nguvu za mafisadi walio nyuma yake wanatumia jina lake kuja kumalizia mikataba mibovu waliomshirikisha! Wake up!!
 
Kuna Bango jana nililiona wananchi walionesha kuchukizwa walipoambiwa kama wanataka lami wapake vinyesi viwe lami,,,,,,,hyo kauli inaonesha aliitoa mr wine,,,ilinikera sana,watawala wanajisahau sana,
 
Bavicha at its best!

Unatoa mfano wa kwenye Biblia wakati hufahamu kama Yesu alikataliwa na Wayahudi.

Unatoa mifano ambayo inaonyesha hufahamu kama Mwl. Nyerere aliacha Butiama haina maji na Umeme wa kutosha baada ya kukaa madarakani kama Rais wa Tanzania kwa miaka zaidi ya 20.

Ulitaka Magufuli aibe miradi na pesa za serikali ili apeleke Chato.

Kwa akili hizi, haishangazi kwenu fisadi ndiye mgombea Urais
 
Back
Top Bottom