Ukifuata ushauri huu, kamwe mapenzi hayatakusumbua

Ukifuata ushauri huu, kamwe mapenzi hayatakusumbua

ludoking

Senior Member
Joined
Oct 5, 2008
Posts
124
Reaction score
71
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi,
Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila
anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every
topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako
utatungwa kwenye Topic ipi..Usipojifunza lolote kutoka
kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali
kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia
Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The
List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama
kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza
kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini
10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt
count when it comes to Love,kuwa na listi lakini ikufunze!
Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu ata siku....
 
Ujumbe huu unawapa watu fursa ya kujaribu kwa vile practice makes perfect..... binafsi sikubaliani nao!
 
UMENENA kweli mkuuuu ujue bhana hakuna kitu kibaya hapa duniani hata umalaya nao ni mzuri ukishakuwa na SAMPLE SPACE KUBWA KUNA uwezekano ukafanya conclusion nzuri!!!
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi,
Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila
anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every
topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako
utatungwa kwenye Topic ipi..Usipojifunza lolote kutoka
kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali
kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia
Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The
List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama
kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza
kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini
10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt
count when it comes to Love,kuwa na listi lakini ikufunze!
Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu ata siku....
 
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi,
Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila
anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every
topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako
utatungwa kwenye Topic ipi..Usipojifunza lolote kutoka
kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali
kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia
Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The
List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama
kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza
kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini
10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt
count when it comes to Love,kuwa na listi lakini ikufunze!
Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu ata siku....

Ujumbe mzuri sana lakini nina mashaka na hizi sentensi ...
" ... Usijali kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia Signature kwenye moyo wako ...." , ".... Numbers doesnt count when it comes to Love ..." na "...The List doesnt matter ..."

Binafsi naona yote uliyosema ni sawa ila ni vyema kujipa muda baada ya kutendwa/kuachwa na kupunguza speed ya kupata mpenzi mpya maana kwa namna moja au nyingine, list ina matter sana! Unaweza kuonekana una matatizo kiasi fulani kwa kuwa na mahusiano mengi yanayovunjika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom