ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi,
Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila
anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every
topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako
utatungwa kwenye Topic ipi..Usipojifunza lolote kutoka
kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali
kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia
Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The
List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama
kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza
kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini
10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt
count when it comes to Love,kuwa na listi lakini ikufunze!
Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu ata siku....
Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila
anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every
topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako
utatungwa kwenye Topic ipi..Usipojifunza lolote kutoka
kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali
kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia
Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The
List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama
kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza
kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini
10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt
count when it comes to Love,kuwa na listi lakini ikufunze!
Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu ata siku....