Ukienda Mkoa huu huyu atakupokea kukukarimu

Ukienda Mkoa huu huyu atakupokea kukukarimu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
14,615
Reaction score
32,111
Nimewaza sana kwa sisi tunaosafiri safiri ni vyema kama tutakuwa na Members wenzetu wa JF ambao watatusadia huko tuendako kwa ajili ya kupeana Company nakadhalika.
naomba tuweze kuwa na ukarimu wa kukaribisha members wenzetu wanapokuja kwenye mikoa yetu. tutumie nafasi hii kuonesha ukarimu wa kitanzania kwa watu mbali mbali.

UKIJA DAR
Nitafute mimi
Chizi Maarifa nitakutembeza maeneo mbalimbali ya dar. kuanzia Yenu Bar, Kona Bar, Bugurni Rozana, kule kwa Wahaya, Toroka Ukuje, Temeke ,Buguruni kwa Mnyamani, Ohio town, Sinza, Magomeni, Mlimani City, City Mall, Quality Centre, Mikocheni,Oysetrbay n.k yaani maeneo yooote ambayo ukiwa mkoani unayasikia sikia. oooh.. na kwenye daraja la manzese na la hapa tazara pia fly over. ntakuonesha na kukupa nafasi ya kupiga picha kwenye mendo kasi,ntakupeleka ukaoge maji ya baharini n.k

kwa mnaokuja dar naombeni tuwasiliane mkija mimi ntawapo tour bure kabisa. kuonesha kuwa sisi watu wa pwani ni wakarimu sana.

NANI YUPO.
MOROG
SINGIDA
DODOMA
SHINYANGA
ARUSHA
TABORA
MWANZA
MARA
BUKOBA
KINJARO
MBEYA
IRINGA
RUVUMA
PEMBA
UNGUJA
MTWARA
LINDI
PWANI
ETC
 
Umetaja maeneo yenye b*tches, akili zako zinawaza wa mikoani wanapenda chini.
Ungetaja maeneo ya kitalii mfano Dar es salaam zoo kule kigamboni, makumbusho etc ungeonekana wa maana
 
Basi wewe ukija Kigoma nitafute. Nitakupeleka palipo na mbuga za wanyama Gombe ukaone masoke.
Nikupeleke ujiji ukaone soko la watumwa na Dr.livingston alipokuwa akiishi.
Nitakupeleka pia Kasulu ukawaone wakimbizi wanapoishi. n.k
 
Kwaiyo na wewe unajivunia kujua madanguro! Acha undezi
 
Makambako njombe kabla yakunitafuta nimesha kupata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom