UKIAMUA INAWEZEKANA

UKIAMUA INAWEZEKANA

SHAZ96

Member
Joined
May 22, 2022
Posts
50
Reaction score
80
Yapata mwaka mmoja tangu niweke uzi wangu leo nakuja na huu uzi aisee tanzania hii (bongo) ukitaka kupiga hela za bure unapiga vizuri tu jamii kubwa za watanzania wanateswa sana na umaskini na mapenzi
Niliwahi kufungua kilinge cha uganga wa kienyeji aisee nilipiga sana chenji wakuu
Aisee asikuambie mtu wakuu watu wanateswa sana na mapenzi na umaskini
 
Kwahiyo ulikuwa una deal na kesi za mapenzi?
 
Yapata mwaka mmoja tangu niweke uzi wangu leo nakuja na huu uzi aisee tanzania hii (bongo) ukitaka kupiga hela za bure unapiga vizuri tu jamii kubwa za watanzania wanateswa sana na umaskini na mapenzi
Niliwahi kufungua kilinge cha uganga wa kienyeji aisee nilipiga sana chenji wakuu
Aisee asikuambie mtu wakuu watu wanateswa sana na mapenzi na umaskini
Kwenye hicho kilinge chako wateja wako wakubwa walikuwa kina nani.....najuwa mastaa wa bongo movie na wabunge hawakukosa kuja kwako.
 
Fani inayolipa ni ya kutibu ujinga utazikimbia pesa si unaona jamaa kajenga hema la b 15 zote zimetoka kwa watu zile.
Uganga,utume na unabii vinalipa sana kwa jamii masikini wa roho na mwili.
 
Yamoto bendi
Kazi ni kipimo cha utu
 
umejenga nyumba ngapi mpka dk hii mshua
Nyumba hii hapa
Screenshot_20250708_143350_WhatsAppBusiness.jpg
 
Yapata mwaka mmoja tangu niweke uzi wangu leo nakuja na huu uzi aisee tanzania hii (bongo) ukitaka kupiga hela za bure unapiga vizuri tu jamii kubwa za watanzania wanateswa sana na umaskini na mapenzi
Niliwahi kufungua kilinge cha uganga wa kienyeji aisee nilipiga sana chenji wakuu
Aisee asikuambie mtu wakuu watu wanateswa sana na mapenzi na umas

Yapata mwaka mmoja tangu niweke uzi wangu leo nakuja na huu uzi aisee tanzania hii (bongo) ukitaka kupiga hela za bure unapiga vizuri tu jamii kubwa za watanzania wanateswa sana na umaskini na mapenzi
Niliwahi kufungua kilinge cha uganga wa kienyeji aisee nilipiga sana chenji wakuu
Aisee asikuambie mtu wakuu watu wanateswa sana na mapenzi na umaskini
Unatushaulije mkuu
 
Mkuu umejuaje na hiki kipindi cha uchaguzi nataka nipige hela sana mkuu aisee kama nilimponesha mtu stroke aisee
Dah, inabidi uanze na kufanya mazoezi ya kutolala usiku maana kazi za kushughulikia kina Manara, Mwijaku, Baba Levo, Shilole (wabunge watarajiwa) zinafanyika usiku wa manane miwa uchi. Hivi unaweza kutupigia picha zao wakiwa uchi wanaroga?
 
Back
Top Bottom