machasembo Senior Member Jul 31, 2017 124 234 Jul 21, 2018 #2 Sana, jamaa amejaliwa hekima na busara, hata kujiuzulu kwake ni busara zilizomuongoza otherwise angeweza kumaliza na mkwere akiwa PM
Sana, jamaa amejaliwa hekima na busara, hata kujiuzulu kwake ni busara zilizomuongoza otherwise angeweza kumaliza na mkwere akiwa PM
kiloriti JF-Expert Member May 12, 2016 483 1,135 Jul 21, 2018 #3 hapa sijamuelewa nape.yeye anaruka ruka kila siku tu
J JokaKuu Platinum Member Jul 31, 2006 30,495 55,112 Jul 21, 2018 #5 ..mmesahau siasa chafu za kundi la WANAMTANDAO lililowahusisha Kikwete, Lowassa, na Sitta? ..watatu hao walikuja kukorofishana ktk mgao wa madaraka. ..Nadhani upole wa Lowassa unatoka na kudhoofika kwake kiafya. Miaka ya 90,95, 2005, alikuwa mwanasiasa machachari na mwenye vijembe. ..
..mmesahau siasa chafu za kundi la WANAMTANDAO lililowahusisha Kikwete, Lowassa, na Sitta? ..watatu hao walikuja kukorofishana ktk mgao wa madaraka. ..Nadhani upole wa Lowassa unatoka na kudhoofika kwake kiafya. Miaka ya 90,95, 2005, alikuwa mwanasiasa machachari na mwenye vijembe. ..
Ng'wanapagi JF-Expert Member Sep 18, 2013 9,125 8,628 Jul 21, 2018 #6 Kati ya watu waliotakiwa kumtumikia mungu ni Lowassa