Haikati stimu wala nini,me ile sauti ndo inanipaga mzuka! Tatizo mwanamke akitoa ile sauti anakuwa anajishtukiaIla lazima ikate stim
Yaan siipendi basi tuHali ya uke kutoa sauti kitaalam hufahamika kama [Queef] au [Vaginal flatulence], ni hali ambayo hewa hutoka kwenye uke uliobana, ambapo hewa hiyo huweza kutoka kwa sauti ambayo inafanana na hali ya kujamba, lakini hali hii au hewa hii inayotoka ukeni huwa haina harufu kama ile inayotoka sehemu ya haja kubwa, ispokuwa hupelekea mwanamke kujihisi vibaya mbele ya mwenza wake, hali hii ni hali ya kawaida na wala haina madhara yoyote kiafya.
hatimae na mimi nilishughudia.😂😂😂 dunia ina heka heka sana
Ngoja waje walete ushuhuda
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 101% kabisaHii hasa kwa wale bikira na ambao bado k zao hazijatumika zaidi zaidi ya mwaka, hawa wengine huwez kusikia hiki kijambo