MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
umebemend....wa ndo mana huinuki.Ngoja waukaze utawakatikia wala hawatapata kitu watanzania wanataka maji,shule,afya na kazalika siyo katiba hata hivyo mbili zatosha.
2 unazijua weyee mburula
umebemend....wa ndo mana huinuki.Ngoja waukaze utawakatikia wala hawatapata kitu watanzania wanataka maji,shule,afya na kazalika siyo katiba hata hivyo mbili zatosha.
umewasikia wapemba wanataka serikali?Na serikali ya pemba mbona unaisahu.
Hatuna shida na katiba kwa sasa siyo hitaji letu watanzania kwani katiba mpya ikipatikana wanawake hawazaa kwa uchungu au maji ya mifugo wetu na sisi wenyewe yatakuwepo kila sehemu?