sir joshua
JF-Expert Member
- May 21, 2013
- 479
- 176
Ngoja waukaze utawakatikia wala hawatapata kitu watanzania wanataka maji,shule,afya na kazalika siyo katiba hata hivyo mbili zatosha.
sasa kama ukweli unaujua mbona li chama lenu na li serekali lenu halitekelezi ahadi zake wamebaki kuiba kodi zetu na ku saini mikataba ya hasara kwa taifa?ktk hili ukawa wako sahihi wana wa nchi twataka katiba mpya pumb...aavu zenu.